TensorFlow
JF-Expert Member
- Feb 11, 2020
- 993
- 1,286
Uzi upi na huyo jamaa nawasilianaje naye? Bei ni TZS ngapi?Samsung au LG
Agiza zanzibar
Yule jamaa anaitwa Abdulwahid , hana hiyana. Anawezakukuletea mpaka mlangoni.
Wacheki na wengine kwenye ule uzi wa wauza tv
Wanauzaje Sumsung?JJ Electronics Tegeta Nyuki wako poa sana
Na kwa nini niagize Zanzibar? Bei ndogo au Dar hakuna?Samsung au LG
Agiza zanzibar
Yule jamaa anaitwa Abdulwahid , hana hiyana. Anawezakukuletea mpaka mlangoni.
Wacheki na wengine kwenye ule uzi wa wauza tv
Angalia kuwa makini nenda kanunue dukani mwenyeweNa kwa nini niagize Zanzibar? Bei ndogo au Dar hakuna?
Bei zao kubwa achana naoWatafute Lampard Electronics wapo chini ya jengo la Simba pale msimbazi kkoo vitu vyao viko Super sana mimi mwenyewe ni mteja wai nishanunua Tv pale
TCL, SAMSUNG, LG, HISENSENatafuta smart TV nchi 44, kubwa zaidi au karibia na hiyo. Napata wapi hapa mjini Dar hasa maeneo ya Kariakoo?
Je, ni brand ipi bora kwa sasa? Bei yake ikoje?
Wako vizuri Ila Wana bei sana.Watafute Lampard Electronics wapo chini ya jengo la Simba pale msimbazi kkoo vitu vyao viko Super sana mimi mwenyewe ni mteja wai nishanunua Tv pale
Kuna thread ipo inatembea humu (nadhanu jukwaa la biashara) kuhusu kuuziana TV. Ipitie kabla hujaelekea Kariakoo, itakusaidia sana kujua mwelekeo wa bei na ubora.Natafuta smart TV nchi 44, kubwa zaidi au karibia na hiyo. Napata wapi hapa mjini Dar hasa maeneo ya Kariakoo?
Je, ni brand ipi bora kwa sasa? Bei yake ikoje?