meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
Kwa wanaJF wakongwe hasa wale walioishi Arusha wanaweza kumkumbuka mwanamama HIDAYA (mwanamke wa kwanza kumiliki Toyota pajero ndani ya jiji la Arusha) aliyeimbwa na jitu la miraba minne PEPE KALE.
Naomba kwa wale wanaojua yuko wapi watujuze. I miss her so much!
Hidaya(kushoto) akiwa na mwanaye marehemu Leyla.
Naomba kwa wale wanaojua yuko wapi watujuze. I miss her so much!
Hidaya(kushoto) akiwa na mwanaye marehemu Leyla.