Duduwasha
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 5,703
- 3,658
Hidaya kama unapitia humu mwambie jamaa uko wapi.
Mkuu pepe kale ni Marehemu siku nyingi sana kama ndio unamuambia Maneno hayo Hidaya umenoa labda aende kwenye kabuli lake... nilisikia kabuli la Pepe kale lilikuwa ni Kubwa Sana na si wajua umbe la jitu lile lilivyokua! Kama Giant