meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,425
- 4,768
Arusha unazani kuna mambo ya kupagawisha, Hidaya hana lolote alimkalumanzila tu pepe kale
¶nimepoteza mpenzi wangu nchini Tanzania nitarudi nnitarudi kwa HIDAYA.....¶
but mpaka Leo hajarudi
Kwa hiyo hidaya alikuwa nyumba ndogo ya pepe kale?
Hidaya yupo kaloleni Arusha
Hidaya kama unapitia humu mwambie jamaa uko wapi.
Kwa hiyo hidaya alikuwa nyumba ndogo ya pepe kale?
Huyu mama si ndio yule alikuwa anakaa maeneo ya karibu na Sakina nilioneshwa Nyumba pembezoni mwa barabara na deal zake niliambiwa ni kuuza a.k.a alikuwa anamiliki Danguro.... Alikuwa Dude dude