Wapi Kuna uhitaji wa Hardware store, Hapa Dar es Salaam.

WatesiWETU

Senior Member
Joined
Jan 2, 2022
Posts
106
Reaction score
248
Nisaidieni ushauri wana jamiiforum, nataka pembezoni mwa mji zaidi.

Ningependa nianze biashara ya Hardware ila changamoto ni eneo lenye ujenzi wa kasi zaidi na upungufu wa Hardware shops


Je kwa sasa mtaji uwe kiasi gani minimum?

Je kawaida faida yakila bidhaa ya hardware inachezea asilimia ngap? 7%,10%au 15% au 20%

Je ni bidhaa gani hasa zina toka mara nyingi hazikai sana dukani ili nianze nazo kukuza mtaji badala ya kununua zinazochelewe nikose mzunguko wakulipa kodi ya pango.

Vip kuhusu leseni ya biashara ya hardware ni kiasi gani manispaa?
 
Dodoma Vipi Upo Tayari
Dodoma bado sina mtaji wa kutosha makazi mapya yakulipia, alafu na fremu nilipie mtaji uta puputika.. maana naishi dah kwa sasa.

Lakin pia nishauri dodoma sehemu gani kuna uhakika?
 
Kama Una Mtaji Mzuri Unaweza Kufungua Kisasa Sheli Maana Ilazo Kuna Ujenzi Mwingi Wa watu Wanao Jiweza. Kama Ndogo Nje Ya Mji Kidogo Inakuwa nzuri Zaidi Kama Mkonze, Mtumba, Udom, Maeneo Ni Mengi Na Kingine Vitu Vya Ujenzi Dodoma Viko Juu Sana So iyo Faida Kwako
 
Asante bro.. ngoja nilifuatilie hiliswala
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…