Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Wameprove kwa kusimama kanisani na kusema walikufa na wakaenda motoni na mbinguni au waliprove vp.?Upo na wapo walioprove, je hayo yako imeyatoa wapi????
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wameprove kwa kusimama kanisani na kusema walikufa na wakaenda motoni na mbinguni au waliprove vp.?Upo na wapo walioprove, je hayo yako imeyatoa wapi????
You talk too much mzee,,,,!!!Wameprove kwa kusimama kanisani na kusema walikufa na wakaenda motoni na mbinguni au waliprove vp.?
Nawe hauna akili, kama unazo onyesha tuzioneee, we lete picha tu maneno yasiwe meengiii kama mpiga debe!!!!Wameprove kwa kusimama kanisani na kusema walikufa na wakaenda motoni na mbinguni au waliprove vp.?
Nadhani ww unayesema kuna mbinguni ndio ulete uthibitisho, sasa Mm ntaletaje uthibitisho wa kitu ambacho hakipo.Nawe hauna akili, kama unazo onyesha tuzioneee, we lete picha tu maneno yasiwe meengiii kama mpiga debe!!!!
Ewe binadamu, Mungu alikupeni utashi na akili na ufahamu.Mafundisho kuwa Mungu atawachoma Moto kisa tu walifanya mambo ambayo hayataki, wakati aliwapa utashi na akili tofauti na miti na wanyama, haya ni mafundisho yanayo muelezea Mungu kama katili na asiye na huruma.
How do you prove kwamba hakuna moto? It ought to work both ways, right?How do you prove kuna Moto?
Wrong. Mungu hajakuumbeni mwanadamu ili ufanye unachotaka.Mungu alituumba na utashi na Uhuru wa kufanya tunayotaka (Kulingana na mufundisho na dini).
Kwa nini ewe binadamu uchague mauti badala ya uzima?Kama angeweza kutuumba wanyama au mimea hili tusiwe na dhambi yeye akachagua kutuumba binadamu akijua tuta asi na kutenda dhambi, why he went ahead na uumbaji wetu
Wrong again! Nani kakuumbeni ili ufanye utakalo?kutuumba binadamu na kutupa akili na utashi wa kufanya tunachotaka alafu aje atuchome moto kwa maamuzi yake ukatili wa Hali ya juu.
Excellent question.And what the use of hao Watu wakao kuwa peponi, Mungu anawatumia kumfanyia Nini?
Exactly.They way we normally try to depict God, kwa mawazo yetu Binafsi weather ni rational or not
Word of caution. Lack of proof is no evidence of nonexistence.Hakuna cha motoni wala mbinguni, ukifa n umekufa nothing more.
Atakayebisha anithibitishie kwa mfano hai.
You are beginning to ask the right kinds of questions.Naamini hivi pia.
Mungu huwa anawatumia kwenye Nini Watu wema wa peponi?
Literally can create more humans to worship and praise him huko mbinguni
Hapo ni sawa na kuchagua ufuate jibu gani.Yn kungekuwa kuna uthibitisho wa mtu aliyetoka mbinguni au peponi hapo ingekuwa sawa atuthibitishie.
Ndiyo uthibitishe kwamba kitu hicho hakipo.Nadhani ww unayesema kuna mbinguni ndio ulete uthibitisho, sasa Mm ntaletaje uthibitisho wa kitu ambacho hakipo.
Swali langu is simple, kwa kuwa Mungu ni omni potent, alijua binadamu kuwa na utashi itamfanya atende dhambi, why alituumba ili aje atutese kwenye moto wa milele, huoni Nadharia kuwa kuna Moto ni contradictory na sifa za Mungu?Ewe binadamu, Mungu alikupeni utashi na akili na ufahamu.
Iwapo unaweza kutofautisha kati ya jema na baya, basi tambua kwamba unawajibika kwa matendo yako kwa vile kile utendacho kimo ndani ya uwezo wako kufanya vinginevyo.
Mungu hakosi huruma au hawi katili kwa kutekeleza uamuzi ambao mwanadamu amejichagulia mwenyewe.
Kukosa huruma ama kuwa mkatili ni kutompatia binadamu sawasawa na maamuzi yake.
Kuchagua mambo maovu ni kuchagua njia ileile ya kuangamia.
Kama mwanadamu hawezi kuuona uhusiano huo wa matendo na matokeo husika, basi hana sifa kabisa za kuwa mwanadamu na wala kamwe katu hapaswi kulaumiwa wala kuhukumiwa kwa matendo yake.
How do you prove kwamba hakuna moto? It ought to work both ways, right?
Wrong. Mungu hajakuumbeni mwanadamu ili ufanye unachotaka.
Amekuumbeni ili utende mema. Think harder.
Kwa nini ewe binadamu uchague mauti badala ya uzima?
Binadamu siyo kama shilingi inayoserereka kuelekea shimoni bila msaada.
Binadamu ni nguvu maamli (conscious force) ya kudumisha uzima ama kujialikia mauti.
Wrong again! Nani kakuumbeni ili ufanye utakalo?
When will you appreciate the fact that even the elements that make up your being are not your own?
You don't own anything within you. You owe God everything. It's that simple.
As a matter of fact, we don't have the right to complain for anything at all.
Gratefulness ought to characterize our every fiber of our life.
Excellent question.
You trust that there is God, don't you?
If He has the power to do what He has done, believe that He has corresponding reason of wisdom in the same.
Exactly.
We need to depict God through His own thoughts.
To better understand Him, we have to think as He thinks.
Word of caution. Lack of proof is no evidence of nonexistence.
The fact that we can't prove the existence of tomorrow doesn't mean it won't be.
Are there things we can't see? There you go!
You are beginning to ask the right kinds of questions.
At least you now appreciate the possibility of God's existence. Good for you.
Hapo ni sawa na kuchagua ufuate jibu gani.
Tatizo lako ni kutoelewa maana ya uthibitisho.
Kwako wewe uthibitisho pekee juu ya uwepo wa Mungu ni hadi mtu atoke huko peponi ili aje akuthibitishie.
Hii ni sawa na kujitungia fomula yako binafsi kwa ajili ya kusuluhisha swali ulilotungiwa.
Aren't formulas supposed to be problem-specific?
Ndiyo uthibitishe kwamba kitu hicho hakipo.
Impossible?
Unakosea kila kitu unapodai kwamba Mungu alikuumba ili aje akutese.why alituumba ili aje atutese kwenye moto wa milele
Hapana sioni ukinzani wowote. Unadhani Mungu hawezi kukuchoma moto, au?huoni Nadharia kuwa kuna Moto ni contradictory na sifa za Mungu?
Labda kama sijakuelewa. Lakini kama unamkosoa Mungu, huoni kwamba wewe ndiye ungepeswa kuwa mungu sasa?Why Moto?
Kwa Nini Mungu asitufanye tuka vaporize milele, kumbuka, hatukuchagua kuumbwa, yeye for some reason aliamua kutuumba for his reasons
Say that to the court of justice as a plea for your innocence after taking someone's life and see what it would be done to you.so for anything we do kimsingi is not our faults.
You're asking as if God is desperately trying to work out your own destruction.Mungu anapata faida Gani hasa kutuona sisi tunateseka motoni?, does he enjoy it?
If you can't see the precious gift of life that God has so graciously given us, it's very unfortunate that you surely deserve to die in that lake of fire. Sorry!Kwa sifa za Mungu, he was there before us, and will be there after us, kwa sifa zake he is all powerful, what is the point of maintaining moto na peponi, kwa ajili yetu?, or we are just his playing toys?
At least we agree on something.Kitu kikubwa Watu wasiojua ni kuwa Biblia haifundishi kuwa kuna eternal fire, au Mungu ni mbaya and enjoys kutesa Watu kwenye moto.
Nachukulia sentensi hii kwamba haikukamilika. Labda wino umekuishia?Mungu hachomi Watu moto
Swali la Msingi Mungu huwajua Watu Tangu hawajaziliwa hata hatma yao.Unakosea kila kitu unapodai kwamba Mungu alikuumba ili aje akutese.
I think very few even worst of the worst can engender and sustain such a concocted notion.
Halafu hakuna kitu kama moto wa milele kwa maana ya kuchomeka milele. Hilo kamwe si fundisho la Biblia.
Hapana sioni ukinzani wowote. Unadhani Mungu hawezi kukuchoma moto, au?
Nitafurahi iwapo utanidodosea japo hizo ^sifa za Mungu^ zinazokinzana na hatua ya kuwaadhibu waovu.
Labda kama sijakuelewa. Lakini kama unamkosoa Mungu, huoni kwamba wewe ndiye ungepeswa kuwa mungu sasa?
Kwa vile unaonekana kubaini mambo ambayo Mungu ^hawezi kuyaona.^
Au sivyo?
Say that to the court of justice as a plea for your innocence after taking someone's life and see what it would be done to you.
Look. Even the devil himself knows when you're lying to his face.
You're asking as if God is desperately trying to work out your own destruction.
You're better than this.
Incidentally, that is precisely the kind of questions you should be posing to the father of lies, Lucifer.
If you can't see the precious gift of life that God has so graciously given us, it's very unfortunate that you surely deserve to die in that lake of fire. Sorry!
At least we agree on something.
1) No eternal fire 2) God doesn't enjoy punishing a sinner
But:
1) hell fire is real 2) God executes punishment for unrepentant sinners. It's called justice.
Nachukulia sentensi hii kwamba haikukamilika. Labda wino umekuishia?
Pengine ingepaswa kuwa:
^Mungu hawachomi moto watu waliotubu na kumtii.^
Acha maneno mengi, tuonyeshe akili yako physically hata kwa picha tu, na kama utashindwa basi fahamu kuwa we si kitu na hauna akili, utake na usitake!!!!Nadhani ww unayesema kuna mbinguni ndio ulete uthibitisho, sasa Mm ntaletaje uthibitisho wa kitu ambacho hakipo.
Kuna dini flan inapambana wawe wengi, ni tawi la shetaniAmani ya Mungu muweza wa yote iwe nanyi.
Nimekuwa nikitafakari kuhusu hili suala la kiimani, kuhusu wapi kutakuwa na wakazi wengi kati ya peponi na motoni?
Naomba mnisaidie kusolve kwa ushahidi wa maandiko.
Kwa nini wapo watu wanaochagua kumtumikia Mungu na ambao hatimaye wataokolewa?Swali la Msingi Mungu huwajua Watu Tangu hawajaziliwa hata hatma yao.
Kwa Nini huwa anaruhusu waje Duniani ambapo watatenda dhambi na hawatatubu na mwisho wataenda motoni?
Nakubali nakubali mzee wanguAcha maneno mengi, tuonyeshe akili yako physically hata kwa picha tu, na kama utashindwa basi fahamu kuwa we si kitu na hauna akili, utake na usitake!!!!
Ulipo nipo lo iwe pepo iwe moto!