CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
Kuna mahali haya matunda yanalimwa? au miche inapatiakana? kwa anaye weza kujua basi anifahamishe mara moja, sana sana miche yake.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ipo arusha mkuu, kuna mzungu anayalima na anamiliki hekari zaidi ya 50 ya haya matunda!
kule kwetu tunayaita Farafadimatunda haya yanaitwaje?
matunda haya yanaitwaje?
Raspberries = Fursadi
Bakhresa produces soft drink called Fursana from the flavour of Fursadi
zabibu Pori
Location yake pls, make niko Arusha so naweza arange nikamtembelea
okey huwa yanauzwa mitaani kweli? (dar)
okey huwa yanauzwa mitaani kweli? (dar)
![]()
![]()
Kuna mahali haya matunda yanalimwa? au miche inapatiakana? kwa anaye weza kujua basi anifahamishe mara moja, sana sana miche yake.
raspberries = fursadi
bakhresa produces soft drink called fursana from the flavour of fursadi