EWGM's
JF-Expert Member
- Jul 22, 2013
- 1,521
- 2,112
![]()
![]()
Kuna mahali haya matunda yanalimwa? au miche inapatiakana? kwa anaye weza kujua basi anifahamishe mara moja, sana sana miche yake.
Link hapo chini mkuu
https://www.youtube.com/watch?v=rdm5ARzrFbc
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
![]()
![]()
Kuna mahali haya matunda yanalimwa? au miche inapatiakana? kwa anaye weza kujua basi anifahamishe mara moja, sana sana miche yake.
Yanapandwa kama fensi kuzunguka shamba..Watu mmeweka uzungu mno. Ni miforosadi kwa lugha iliyozooeleka.Meru imjaa tele na Moshi.matunda mekundu machachu bado hayajaiva vizuri, Hayo ya zambarau ndiyo yameiva matamu.tulikuwa tunajipaka mdomoni.majani yake yanapendwa sana na mbuzi. Unaotesha kimti. Na siyo mbegu.nenda Meru maeneo ya Sing'isi kuanzia hapo darajani mto malala watu wameotesha sana kwaajili ya majani ya mbuzi.
KAMA UNAUHITAJI KWELI FANYA MAWASILIANO , MIMI NINA MITI YA MATUNDA HAYO.NAWEZA NIKAKUOTESHEA MICHE. NIPO NJOMBE mlyukatina@yahoo.com
Moshi...hata Arusha ni mengi sana..
Tunaita mawero....
matunda haya yanaitwaje?
Yanapandwa kama fensi kuzunguka shamba..
Yanaitwa strawberry, yanafanana na blackberry, kesho ntawarushia ka picha hapa home ninao mtunda wake!
Tutamu sana!
Moshi...hata Arusha ni mengi sana..
Tunaita mawero....
Yanaitwa strawberry, yanafanana na blackberry, kesho ntawarushia ka picha hapa home ninao mtunda wake!
Tutamu sana!
![]()
![]()
Kuna mahali haya matunda yanalimwa? au miche inapatiakana? kwa anaye weza kujua basi anifahamishe mara moja, sana sana miche yake.
matunda haya yanaitwaje?
a) Katerero
b) Kachabali
c) Zabibu
Chagua jibu lililo sahihi.....