Wapi lipo soko la unga wa ubuyu kwa ndani au nje ya Tanzania?

Joined
May 8, 2020
Posts
12
Reaction score
6
Jamani naombeni kuuliza, je ni wapi naweza pata soko zuri la unga wa ubuyu kwa hapa Tanzania na nje ya Tanzania?
 
Wee tangaza tu, kuwa unga huo unatibu Corona na nguvu zakiume, utauza Hadi utamani mchicha uzae mibuyu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…