Wapi maeneo ya Pwani naweza pata ng’ombe wa maziwa wazuri?

Wapi maeneo ya Pwani naweza pata ng’ombe wa maziwa wazuri?

Bakulutu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2011
Posts
2,557
Reaction score
1,787
Pwani, Bagamoyo na Morogoro wapi naweza ng’ombe wa maziwa wakuuza?

Wengi naona ni janda za juu na kaskazini.

Nipe location au contacts kwa anaejua please!
 
Nenda temeke vetenary wizarani tafuta mtaalamu watakuelekeza vizuri kupata unachohitaji.

Ikiwa wewe ni mfugaji tayari. Ongea na daktari wa mifugo mzoefu wa eneo lako.
 
Nenda temeke vetenary wizarani tafuta mtaalamu watakuelekeza vizuri kupata unachohitaji.

Ikiwa wewe ni mfugaji tayari. Ongea na daktari wa mifugo mzoefu wa eneo lako.
Hawa wataalamu siku hizi wamekuwa zaidi ya madalali asee ! Nawajua sana ! Wengi wanataka wakuagizenhuku mbeya/ iringa kwa pesa wanazotaka wao..
 
Ukinikimbusha kesho, nitakuulizia kwa mtu. Sema sahivi saa 8 kesho nitakumbuka kweli
Kesho ukiiulzwa kuhusu ng'ombe unaanza kujiulza ww na ng'ombe wap na wap mara una conection kikwete anaweza muuzia ng'ombe wake haya ngoja pakuche😂
 
Nadhani fika kwa jk ongea na meneja wa project yake na elezea Nia yako unaweza kufanikiwa kupata mtamba bora kabisa
 
Hawa wataalamu siku hizi wamekuwa zaidi ya madalali asee ! Nawajua sana ! Wengi wanataka wakuagizenhuku mbeya/ iringa kwa pesa wanazotaka wao..
Kama pale temeke wote wako hivyo au wana tabia hiyo. Njoo duka la famers center ilala kona ya kwenda amana hospitali utapata msaada. Wale wana connection ya wafugaji wengi na wao wenyewe wanafuga unaweza ukapata mbegu kwa boss mwenyewe. Pia omba invitation tarehe 1/5 kutakuwa na semina. Itakulink na wafugaji wengi na ukija semina mengi utayajua.
 
Back
Top Bottom