Ngengemkenilomolomo
JF-Expert Member
- Mar 21, 2015
- 270
- 450
Kwa anaejua alipo & anapiga mishe gan huyu aliekua comedian wa ze komedi ya EATV atutonye[SUP].[/SUP] Maana siku hizi simuoni kabisa Ze Komedi, alikuaga anafit sana hasa kwenye segment ya mazuzu ingawa Bambo (mama solomonii) nae anafit.
Kama aliacha kwanini aliacha? Yoyote ambae anajua kumuhusu plz atupashe.
Kama aliacha kwanini aliacha? Yoyote ambae anajua kumuhusu plz atupashe.