Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Wakati wote tangu dunia kuwepo, ulimwenguni matajiri ni wachache sana wakati mafukara ni wengi sana. Inakadiriwa asilimia 1 ya matajiri duniani wanamiliki asilimia 50 ya utajiri wote duniani!
Harakati nyingi duniani ni za kuwapa masikini unafu wa maisha. Kuna elimu bure, COVAX, MKUKUTA, LHRC, Amnesty International n.k. Mambo haya yote yanafanyika kwa ajili ya maskini.
Kwanini ni vigumu sana kuwa tajiri kuliko kuwa maskini?
Kwanini pamoja na jitihada nyingi zinazofanywa na maskini au kwa ajili ya mafukara. Bado jamii kubwa ya binadamu imeendelea kubaki katika lindi la umaskini?
Harakati nyingi duniani ni za kuwapa masikini unafu wa maisha. Kuna elimu bure, COVAX, MKUKUTA, LHRC, Amnesty International n.k. Mambo haya yote yanafanyika kwa ajili ya maskini.
Kwanini ni vigumu sana kuwa tajiri kuliko kuwa maskini?
Kwanini pamoja na jitihada nyingi zinazofanywa na maskini au kwa ajili ya mafukara. Bado jamii kubwa ya binadamu imeendelea kubaki katika lindi la umaskini?