Wako honey moon visiwani Guan
Bingi wakati nipo udsm miaka ya 2007 alikuwa ni lecturer(sociology)
Bingi wakati nipo udsm miaka ya 2007 alikuwa ni lecturer(sociology)
Amefariki usiku wa kuamkia leoJamani naomba kuuliza, kuna yule jamaa aliyekua ni mtangazaji wa Redio 1 kipindi cha nyuma kwa jina Misanya Bingi hivi kaendaga wapi? kuna mtu anataarifa zake nikazipata? Asanteni.
Wote wawili ni RIP, alitangulia Dena, sasa leo ndio napata habari hiikwa wanaofahamu hawa watu walipo pls naomba wanijuze........