sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,276
- 976
mara ya mwisho nilikutana nae pub moja mitaa ya ilboru yuko na zee la kizungu.nilisikitika sana!!
Wanajamvi habari Zenu.. Huyu binti Nakaaya nimemkumbuka baada ya kusikia nyimbo yake ya Mr.Politician.. Kwa kweli ulikuwa ni wimbo mzuri sana kwa wanasiasa wetu.. Hasa hawa wa chama cha..
Mara ya mwisho nilimuona mwaka 2010 pale uwanja wa sheikh abeid Arusha aliporudisha kadi ya magwanda na kupewa ya magamba na mwnykt wa CCM taifa.
huyu hapa
Hiyo ngeu ya nini tena?
huyu hapa
Hiyo ngeu ya nini tena?
huyu hapa
huyu hapa