sexologist
JF-Expert Member
- Dec 5, 2010
- 2,276
- 976
Wanajamvi habari Zenu.. Huyu binti Nakaaya nimemkumbuka baada ya kusikia nyimbo yake ya Mr.Politician.. Kwa kweli ulikuwa ni wimbo mzuri sana kwa wanasiasa wetu.. Hasa hawa wa chama cha..
Mara ya mwisho nilimuona mwaka 2010 pale uwanja wa sheikh abeid Arusha aliporudisha kadi ya magwanda na kupewa ya magamba na mwnykt wa CCM taifa.
Mara ya mwisho nilimuona mwaka 2010 pale uwanja wa sheikh abeid Arusha aliporudisha kadi ya magwanda na kupewa ya magamba na mwnykt wa CCM taifa.