TensorFlow
JF-Expert Member
- Feb 11, 2020
- 993
- 1,286
- Thread starter
- #21
Naitafuta leo, na kuivaa leo. Muda mchache!Shona tu bro, ingia insta utaona mafundi kibao
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naitafuta leo, na kuivaa leo. Muda mchache!Shona tu bro, ingia insta utaona mafundi kibao
Kuna mafundi pia.........Sasa suti utanunuwa wapi kama siyo dukani?
ELEWA swali,Sasa suti utanunuwa wapi kama siyo dukani?
Duh, watu mmevurugwa na wagombea wa CHADEMA kukatwa kila mahali nini? Mbona mmekuwa wakali hivyo? Kwani ungesema tu ni "duka" ungepungukiwa nini? Najua mwamba naye amezingua lakini tumvumilie tu! Halafu jingine hapo juu limemjibu eti gereji bibi!😁😁Sasa suti utanunuwa wapi kama siyo dukani?