Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hadi saa 6 uhakika.Usiku
Usiku usafiri ni wa uhakika?
Kigamboni gharama za usafiri zipo juu, bajaji au pikipiki hadi ferry 700/1000, pantoni 200 bado akivuka achukue boda 2000 bajaji 1000 au kutembea umbali mrefu kwenda na kurudi si chini ya 2800Hapo komaa na Kigamboni.
Ahaaaa,kigamboni hapakufai hania tabata mkuu mshahara wotw uishie barMkuu nishindwe hata kunywa bia na marafiki nawahi ghetto kisa usafiri?
Akqpunwe na malaya?.Ahaaaa,kigamboni hapakufai hania tabata mkuu mshahara wotw uishie bar
Labda Magomeni Makumbusho hatua,Tandale kama issue ni kubana matumizi huko hakuna gari za moja kwa moja posta.Kigamboni gharama za usafiri zipo juu, bajaji au pikipiki hadi ferry 700/1000 bado akivuka achukue boda 2000 bajaji 1000 au kutembea umbali mrefu kwenda na kurudi si chini ya 2800
Nashauri Magomeni/Makumbusho/Sinza/Tandale gari 1 kwenda na kurudi 1200
Toa Tandale hapo..Magomeni/Makumbusho/Sinza/Tandale gari 1 kwenda na kurudi 1200
Manzese kwa mfuga mbwa!Wakuu kwema?
Msaada kwenye tuta, nimepata ajira posta, nahitaji room yenye choo kwa 100k na sehem ambayo ni rahisi kufikika na kwenda kazi, kama gari nikipanda moja linatosha.kuwe na maji ya kuaminika..
Mkinipa na connection itapendeza zaidi
Nenda kilimanjaroo expressWakuu kwema?
Msaada kwenye tuta, nimepata ajira posta, nahitaji room yenye choo kwa 100k na sehem ambayo ni rahisi kufikika na kwenda kazi, kama gari nikipanda moja linatosha.kuwe na maji ya kuaminika..
Mkinipa na connection itapendeza zaidi
+255711831444Wakuu kwema?
Msaada kwenye tuta, nimepata ajira posta, nahitaji room yenye choo kwa 100k na sehem ambayo ni rahisi kufikika na kwenda kazi, kama gari nikipanda moja linatosha.kuwe na maji ya kuaminika..
Mkinipa na connection itapendeza zaidi
Kinapatikana,maeneo ya tegeta au ununioWakuu kwema?
Msaada kwenye tuta, nimepata ajira posta, nahitaji room yenye choo kwa 100k na sehem ambayo ni rahisi kufikika na kwenda kazi, kama gari nikipanda moja linatosha.kuwe na maji ya kuaminika.
Mkinipa na connection itapendeza zaidi
AsanteKigamboni gharama za usafiri zipo juu, bajaji au pikipiki hadi ferry 700/1000, pantoni 200 bado akivuka achukue boda 2000 bajaji 1000 au kutembea umbali mrefu kwenda na kurudi si chini ya 2800
Nashauri Magomeni/Makumbusho/Sinza/Tandale gari 1 kwenda na kurudi 1200