Wapi napata sound effects?

MC44

JF-Expert Member
Joined
Mar 1, 2019
Posts
2,169
Reaction score
3,297
Habari,

Navutiwa sana kupiga mziki hasa kwenye halaiki. Natumia simu na power-mixer huku watu wanapiga mziki kishamba sana.

Au telegram channel ambayo inahusisha haya mambo
 
Wazee.....
 
Audiojungle.com

Kama ni DJ Tag ingia fiverr.com walipe wadosi wakufanyie voice tag.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…