Dah wewe jamaa mwana anataka msaada na wewe unampiga swali Tena duhWe umezipata wapi
Sasa unakuta ni buku au mia tano, mtu utamsumbua bure!! Hivi vi Hela vya kusachi kwenye mifumo ya mabelo ya mitumba hivi??Hizo pesa hazina mzunguko hapa nchini. Ni ngumu kusema wapi wanabadilisha, tafuta mtu anayesafiri mara kwa mara umuuzie mfano hiyo ya Korea ni South Korea mtu anayesafiri Kwenda China anaweza kubadililisha akiwa China. Nafikiri Dubai pia
Hawana msaada.Nenda ubalozi wa izo nchi husika