Wapi naweza kupata dawa ya Silde Nafil?

Mr Suprize

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2014
Posts
869
Reaction score
961
Dawa inaitwa (SILDE NAFIL 50Mg) wapi naweza kuipata? na gharama yake itakuwa shilingi ngapi?
Nahitajj haraka
 
unataka kumsuprize nani?
pima presha kabla ya kunywa
 
Umemkamia..? fuata ushauri wa kujeki presha..unaweza kufa kijinga isee
 
presha tena, au we ndo unapresha? maana naona umekurupuka kulijbu
[/QUOTE]
ni ushauri tu mkuu mambo ya kitabibu haya usije ukapotea, usiwe mkali mkuu nunua pia na PrEP umeze pamoja itakusaidia hii ya mwisho muhimu zaidi.
 
asante mkuu kwa ushauri, naomba niulize hiyo dawa inaweza kuwa na madhara et? coz kuna MTU kanishaur nkanunue but hajaniambie madhara yake
 
Hii dawa kazi yake ni kupunguza msukumo wa damu. Itakuaibisha.
Na usitumie kama una mimba
 
asante mkuu kwa ushauri, naomba niulize hiyo dawa inaweza kuwa na madhara et? coz kuna MTU kanishaur nkanunue but hajaniambie madhara yake
Unakwenda kununua kwaajili ya nini. Utakufa kabla ya siku si Zako ooooo
 
Huongeza nguvu za kiume lakini Huwa tu natumia kutibu pulmonary hypertension.
 
Hasa kwa watoto wenye shida za moyo. Kwa wakubwa haitumiki zaidi ya kuongeza nguvu za kiume
 
Hasa kwa watoto wenye shida za moyo. Kwa wakubwa haitumiki zaidi ya kuongeza nguvu za kiume
Hivi hizi zinaongeza nguvu au zinaboost nguvu for a particular moment then the shit continues
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…