Mr Suprize
JF-Expert Member
- Dec 18, 2014
- 869
- 961
Dawa inaitwa (SILDE NAFIL 50Mg) wapi naweza kuipata? na gharama yake itakuwa shilingi ngapi?
Nahitajj haraka
Nahitajj haraka
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
presha tena, au we ndo unapresha? maana naona umekurupuka kulijbu[/QUOTE]unataka kumsuprize nani?
pima presha kabla ya kunywa
asante MkuuJaribu kweny me mapharmacy
kwani inamadhara mkuu? hebu nielezeUmemkamia..? fuata ushauri wa kujeki presha..unaweza kufa kijinga isee
[/QUOTE]presha tena, au we ndo unapresha? maana naona umekurupuka kulijbu
sasa kama hujui povu lilikutoka la nini !kwani inamadhara mkuu? hebu nieleze
Unakwenda kununua kwaajili ya nini. Utakufa kabla ya siku si Zako oooooasante mkuu kwa ushauri, naomba niulize hiyo dawa inaweza kuwa na madhara et? coz kuna MTU kanishaur nkanunue but hajaniambie madhara yake
Hivi hizi zinaongeza nguvu au zinaboost nguvu for a particular moment then the shit continuesHasa kwa watoto wenye shida za moyo. Kwa wakubwa haitumiki zaidi ya kuongeza nguvu za kiume
Zinaboost si unajua kiswahili kigumuHivi hizi zinaongeza nguvu au zinaboost nguvu for a particular moment then the shit continues
mm ni he not sheHii dawa kazi yake ni kupunguza msukumo wa damu. Itakuaibisha.
Na usitumie kama una mimba