Unapata faida gani ukishanijibu hivi?Nyambari nyengwine hayupo humu
Ndio.Kinahusu haki za wasichana hicho kingine "Girls Rights"?
Unataka kuwafundisha haki zao?
Asante sana mkuu, wapo wapi ofisi zao?Nenda Mkuki publishers...
Watakudhamini wakikuelewa
🚮"vitabu vya financial education"
Vitauzika ni vitabu vya fiction stories na nonfiction. Aina hii ya vitabu vinafanya vizuri nchi nyingine. Pia nimetumia mtindo wa decoding.Je vitauzika?Na baada ya muda gani fedha itarudi?
Yes nazifahamu girls'rights. Hata wewe ukitaka kuzifahamu ni rahisi sana zipo kila sehemu hata umu mitandaoni sio elimu ngeni sana.Wewe kama mwanaume unaweza jua girls right?
Umeandika kwa lugha gani? Unaonaje swala la kukopa mkopo ili uweze kuprint Vitabu vyako.
Sasa Kama ziko mtandaoni why would I buy your book if I could easily read them online?Yes nazifahamu girls'rights. Hata wewe ukitaka kuzifahamu ni rahisi sana zipo kila sehemu hata umu mitandaoni sio elimu ngeni sana.
Kuhusu kukopa sipo tayari kwa sasa maana biashara aianzishwi na mkopo mkopo uja kuistrengthen.
Ni vitabu kwa ajili ya watoto wewe sio target market. Hapo hakuna tricky question coz siendi toa elimu ngeni kwa watoto naenda kufanya uwasilishaji tofauti, unajua decodable books zinakuwaje?Sasa Kama ziko mtandaoni why would I buy your book if I could easily relax them online?
This is a tricky question think before you answer this. .
Mimi ni mzazi pia ninaweza kuwa mwekezaji kwenye idea yako. Unanijibu kwa jeuri wakati nakuliza vizuri tuNi vitabu kwa ajili ya watoto wewe sio target market. Hapo hakuna tricky question coz siendi toa elimu ngeni kwa watoto naenda kufanya uwasilishaji tofauti, unajua decodable books zinakuwaje?