The Boss
JF-Expert Member
- Aug 18, 2009
- 49,282
- 117,244
Ziko posta ...karibu na Discount center ya samora pale ulizaAsante sana mkuu, wapo wapi ofisi zao?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ziko posta ...karibu na Discount center ya samora pale ulizaAsante sana mkuu, wapo wapi ofisi zao?
Sawa mkuu be blessedZiko posta ...karibu na Discount center ya samora pale uliza
Hata hizo e book wanataka za bure Kwa kifupi wabongo na shortcut ni damu DamuKatika biashara isiyolipa Tanzania ni biashara ya vitabu! Watanzania hawana hulka ya kujisomea labda uende Chuo Kikuu cha Dar walazimishe kiwekwe kwenye mitaala. Vinginevyo kiwe e-book mtandaoni waki download Amazon upate fedha zako!
Mkuu mimi wateja wangu ni watoto na wanunuzi sijalenga sana individuals kuna taasisi nafikiria kuwauzia wao wanunulie watoto. Ipo kitofauti kidogo. Ila pia nafikiria kuuza online kama Amazon.Katika biashara isiyolipa Tanzania ni biashara ya vitabu! Watanzania hawana hulka ya kujisomea labda uende Chuo Kikuu cha Dar walazimishe kiwekwe kwenye mitaala. Vinginevyo kiwe e-book mtandaoni waki download Amazon upate fedha zako!
Ulichokisema ni kweli. Mimi ni mwandishi pia wa novels, kazi ya uandishi ni ngumu kuliko anavodhaniUna authority behind ya unachokiandika au kwenye auandishi, mfano Diamond akiandika kitabu kuhusu mziki kitanunulika tu au Mkapa na Reg Mengiwalikuwa na authoy behind je wewe hauna authority wala audience unawezaje kuuza
Hapana siitaji uwekezaji wako.Mimi ni mzazi pia ninaweza kuwa mwekezaji kwenye idea yako. Unanijibu kwa jeuri wakati nakuliza vizuri tu
Siandiki motivational books mkuu. Nafundisha watoto kuhusu pesa ni kama maarifa ya jamii, hesabu, ICT nkKama financial education why usiitumke iyo elimu ili upate pesa ama unajua tu kuongea sema practical zero?
The talk is the cheapest that can be performed by anyone...
Kwa hiyo kama ni ngumu niache? Siwezi acha.Ulichokisema ni kweli. Mimi ni mwandishi pia wa novels, kazi ya uandishi ni ngumu kuliko anavodhani
sawa endelea kiteseka na duniaHapana siitaji uwekezaji wako.
Mkuu awa wakatishaji tamaa mimi siwazingatii kabisa ndio maana nawajibu wanachostahiki. Watu wenye kukujenga hata wakijitokeza wawili wanatosha sana.JF umekuwa mtandao wa hovyo wa kuwakatisha watu tamaa na kuharibu mijadala ya kujenga jamii. Hapa umeleta wazo zuri lakini kwa baadhi ya watu hovyo kabisa!
🙏sawa endelea kiteseka na dunia
Pole mkuu kwa changamoto za kimahusiano zinazokusumbua. Nashauri tu ukiwa kwenye mahusiano simama kama mwanaume utakuwa kichwa kwenye relationship yako. Pia mimi sijaomba unichangie hela au comprehension ni tatizo?Nenda kwa wahusika yaani taasisi za wanawake na wadau wao. Yaani uandike vitabu ambavyo ndio matokeo ya kutuletea changamoto kwenye mahusiano halafu sisi tukuchangie pesa?
Mtindo wa decoding ndiyo mtindo gani mkuu?Vitauzika ni vitabu vya fiction stories na nonfiction. Aina hii ya vitabu vinafanya vizuri nchi nyingine. Pia nimetumia mtindo wa decoding.
Hii ndio shida. Uwezo wa kumsaidia ninao na hata kumkutanisha na wadau. Ila hata maswali ya kawaida tu anapanick. Asipochukua ushauri wako basi tena. .Sema mtoa post anaonekana jeuri sana ukiangalia lugha yake....
You're right.Sema mtoa post anaonekana jeuri sana ukiangalia lugha yake....
Ni hadithi zinazozingatia kufundisha vitu vingi kwa wakati mmoja ikiwemo herufi sauti silabi na maths na elimu nyingine utayochagua mtunzi. Rajabu anafanya hesabu huku anatafuna zabibu.Mtindo wa decoding ndiyo mtindo gani mkuu?
Nasisitiza sihitaji msaada wako mkuu.Hii ndio shida. Uwezo wa kumsaidia ninao na hata kumkutanisha na wadau. Ila hata maswali ya kawaida tu anapanick. Asipochukua ushauri wako basi tena. .