Wapi naweza kupata 'hearing aid device' kwa bei rahisi?

Wapi naweza kupata 'hearing aid device' kwa bei rahisi?

Muamu3

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2020
Posts
2,708
Reaction score
4,531
Za muda huu wakuu

Nilishapitia threads mbalimbali humu Jf hususani katika ishu za watu walikuwa wanasumbuliwa na tatizo la kutosikia (hearing loss) but nami ni muhanga wa hilo nimepambana sana kutumia madawa kama ushauri wa daktari nilitumia kama miezi nane dawa aina za neurosupport katika kipindi tofauti ndani ya miaka minne kila mwaka nilitumia miezi miwili miwili nilipewa moyo sana kwamba nitumie na wala nisiangaike kwa daktari

Ifikika stage mpaka nimepewa rufaa nikaenda Muhimbili wakashauri nitumie hearing device baada ya kunipima wakagundua masikio yote yemathirikia total siwezi ongea na simu wala kuchuja sauti kabisa ukiniongela karibu nasikia besi fully siwezi kukupata neno mpaka neno

Walinidirect kwenye jengo la hearwell audologist clinic ambalo linaangaliana na richmond tower pale pale Muhimbili so vile device kabla niliwapa vipimo wakanitafutia size yake ni vidogo hivi vinatumia betri za saa make isgnia kimoja wakadai ni laki nane cash hakuna maelezo

So naomba kama kuna mtu anaweza kujua au kutoa msaada kupata cheap maana alibaba nilichek aliexpress bei yake ni ndogo mno mpaka nikahisi labda suppliers ni scammers

Naomba mawazo yenu wakuu
 
Tatizo lako la usikivu lina muda gani? Hao Hearwell Audiology Clinic pale upanga ndo best clinic ya hearing aid kwa Tanzania

Kuna watu wa mikoani wanapewa rufaa kwenda pale, wale hawapokei bima yoyote ni cash tu.
 
mkuu unatatizo kama langu nami nimejipanga mwezi wa 9 nije huko. kuchukua healing aids, pia kuna za aina mbili 1. anology na 2 ni digitor , kwa bei za hapo hearwell clinick anlogy wanauza moja sh 30000 na digitor zinaanza kuanzia laki 8 na kwenda juu . nasema kwenda juu kwa sababu zipo za level 3 , ya kwanza kwa mtu anayeanza kutumia. hii pia inawafaa watoto, ya pili ina feature nyingi za nyongeza kama rechable na nyinginezo. kwa upande wangu ninazo anology pair mbili sizitumii kama unahitaji njoo nikupatie. kuusu ghalama bora hapo umepata ya laki 8 muhumbiri ni milion 1 na nusu. kwa sikio moja
 
Pole sana mkuu.
Tatizo lajo lina afadhali kuliko langu.
Mimi nimepita hospitali kibao hapa Dar mpaka nimekata tamaa.
Nimepoteza hela hadi basi.
Madaktari wameniambia hata nikipewa kile kifaa hakitonisaidia kabisa.
Mungu ni mwema wakati wote.
 
Pole sana mkuu.
Tatizo lajo lina afadhali kuliko langu.
Mimi nimepita hospitali kibao hapa Dar mpaka nimekata tamaa.
Nimepoteza hela hadi basi.
Madaktari wameniambia hata nikipewa kile kifaa hakitonisaidia kabisa.
Mungu ni mwema wakati wote.
Pole mkuu. VIP kuhusu kufanyiwa operations .walikushaulije
 
mkuu unatatizo kama langu nami nimejipanga mwezi wa 9 nije huko. kuchukua healing aids, pia kuna za aina mbili 1. anology na 2 ni digitor , kwa bei za hapo hearwell clinick anlogy wanauza moja sh 30000 na digitor zinaanza kuanzia laki 8 na kwenda juu . nasema kwenda juu kwa sababu zipo za level 3 , ya kwanza kwa mtu anayeanza kutumia. hii pia inawafaa watoto, ya pili ina feature nyingi za nyongeza kama rechable na nyinginezo. kwa upande wangu ninazo anology pair mbili sizitumii kama unahitaji njoo nikupatie. kuusu ghalama bora hapo umepata ya laki 8 muhumbiri ni milion 1 na nusu. kwa sikio moja
Ni mda sana japo kuwa waliniambia kuwa nitumie dawa sana sana nuero support nisikimbilie kutumia device wakadai kwa uwezo wangu atleast one day i will back to normal as the usual lakini naona kama watu walionizoea wanaona nawadharau nikiongea nao au nina kiburi kumbe empty sisikii vizuri hii tangu 2016 madawa natumia ila now ni excess nilienda muhimbili kupima ndo nikaambiwa ivyo
Tatizo lako la usikivu lina muda gani? Hao Hearwell Audiology Clinic pale upanga ndo best clinic ya hearing aid kwa Tanzania

Kuna watu wa mikoani wanapewa rufaa kwenda pale, wale hawapokei bima yoyote ni cash tu.
 
Sikufanyiwa, ila nilipewa vidonge ili nisisimue mishipa ya sikioni lakini yapi?
Nilimeza vidonge kwa muda wa siku 270
Hata mi vidonge nilipewa nimetumia sana ndani ya miaka 4 walisema nishtue mishipa irudi katika hali ya kawaida
 
Pole aisee
Pole sana mkuu.
Tatizo lajo lina afadhali kuliko langu.
Mimi nimepita hospitali kibao hapa Dar mpaka nimekata tamaa.
Nimepoteza hela hadi basi.
Madaktari wameniambia hata nikipewa kile kifaa hakitonisaidia kabisa.
Mungu ni mwema wakati wote.
 
mkuu unatatizo kama langu nami nimejipanga mwezi wa 9 nije huko. kuchukua healing aids, pia kuna za aina mbili 1. anology na 2 ni digitor , kwa bei za hapo hearwell clinick anlogy wanauza moja sh 30000 na digitor zinaanza kuanzia laki 8 na kwenda juu . nasema kwenda juu kwa sababu zipo za level 3 , ya kwanza kwa mtu anayeanza kutumia. hii pia inawafaa watoto, ya pili ina feature nyingi za nyongeza kama rechable na nyinginezo. kwa upande wangu ninazo anology pair mbili sizitumii kama unahitaji njoo nikupatie. kuusu ghalama bora hapo umepata ya laki 8 muhumbiri ni milion 1 na nusu. kwa sikio moja
Nimekupata mkuu ila nasikia nje kidogo ni cheap hlafu ni recheargable
 
Za muda huu wakuu

Nilishapitia threads mbalimbali humu Jf hususani katika ishu za watu walikuwa wanasumbuliwa na tatizo la kutosikia (hearing loss) but nami ni muhanga wa hilo nimepambana sana kutumia madawa kama ushauri wa daktari nilitumia kama miezi nane dawa aina za neurosupport katika kipindi tofauti ndani ya miaka minne kila mwaka nilitumia miezi miwili miwili nilipewa moyo sana kwamba nitumie na wala nisiangaike kwa daktari

Ifikika stage mpaka nimepewa rufaa nikaenda Muhimbili wakashauri nitumie hearing device baada ya kunipima wakagundua masikio yote yemathirikia total siwezi ongea na simu wala kuchuja sauti kabisa ukiniongela karibu nasikia besi fully siwezi kukupata neno mpaka neno

Walinidirect kwenye jengo la hearwell audologist clinic ambalo linaangaliana na richmond tower pale pale Muhimbili so vile device kabla niliwapa vipimo wakanitafutia size yake ni vidogo hivi vinatumia betri za saa make isgnia kimoja wakadai ni laki nane cash hakuna maelezo

So naomba kama kuna mtu anaweza kujua au kutoa msaada kupata cheap maana alibaba nilichek aliexpress bei yake ni ndogo mno mpaka nikahisi labda suppliers ni scammers

Naomba mawazo yenu wakuu
Mimi pia nina hiyo shida nilinunua hapo Hearwell mwaka 2014 ,kwa bei karibia na uliyosema, nikatumia nikaona vinanikera nikaamua kuachana navyo,

Nenda buguruni malapa shule ya Viziwi kuna wazungu huwa wanakuja kila mwaka kufanya vipimo vya masikio na kutoa hearing Aid bure baada ya vipimo, nenda ukaulize ratiba zao huwa zikoje, wanakuja mwezi gani.

Lakini pia kwa ushauri wangu, inabidi kwanza ujikubali na hali mpya, hearing Aid quality ya sauti haifanani na quality ya sauti ya sikio lisilo na tatizo, zingine zinaumiza masikio, zinaweza zikaharakisha uziwi.
 
Mimi pia nina hiyo shida nilinunua hapo Hearwell mwaka 2014 ,kwa bei karibia na uliyosema, nikatumia nikaona vinanikera nikaamua kuachana navyo,

Nenda buguruni malapa shule ya Viziwi kuna wazungu huwa wanakuja kila mwaka kufanya vipimo vya masikio na kutoa hearing Aid bure baada ya vipimo, nenda ukaulize ratiba zao huwa zikoje, wanakuja mwezi gani.

Lakini pia kwa ushauri wangu, inabidi kwanza ujikubali na hali mpya, hearing Aid quality ya sauti haifanani na quality ya sauti ya sikio lisilo na tatizo, zingine zinaumiza masikio, zinaweza zikaharakisha uziwi.
Sawa sawa mkuu nashukuru
 
Ndo nataka kuangalia ipi njia nzuri pale clinic walinijaribu nikaa navyo kama dk 10 baada ya kuwaonyesha vipimo ila nimeona viko dhaifu kwa upande fulani kwanza vinatumia betri za saa sio rechargable bei laki nane
Test brand walizonazo ambazo umeridhika nazo agiza online toka ulaya au marekani ni cheap zaidi . Pole sana
 
Back
Top Bottom