Wapi naweza kupata Huduma za kiroho (Fellowship) kwa Dar

Wapi naweza kupata Huduma za kiroho (Fellowship) kwa Dar

Kiukweli Mimi sijawahi kwenda huko.
Ila Nina watu wanne kwenye Family Yangu ambao wao hawakosi Wala ibadani .
Ktk wanafamilia hao Wawili ni wanandoa,
Na Tayari ndoa zao zimeanza kuchangamka vibaya kutokana na anayoyazungumza mmoja wao.
* Anasema kwamba,,,,,,,mumewe amemwambia siku akiliacha kanisa hilo, basi Ndoa Yao itakuwa imefika ukomo pia.









M
 
Habari wanajamii.

Naomba msaada Kwa yeyote ayefahamu Mahali Kuna HUDUMA YA FELLOWSHIP Kwa Mkoa wa Dar es Salaam.
Mimi Ni Muumini wa Hii Mambo ila sio UWATA.

Nipo Dar Kwa Muda kidogo ila Sijui mahali nitashiriki Huduma kama Hii hapa Dar.

Mimi Nipo Kimara Baruti.

Kwa anayefahamu Naomba Anifahamishe.

Shukrani.
Mi natoa huduma ya kiroho ila kwa maelewano na lazima nione picha yako unafananaje?
 
Ktk wanafamilia hao Wawili ni wanandoa,
Na Tayari ndoa zao zimeanza kuchangamka vibaya kutokana na anayoyazungumza mmoja wao.
* Anasema kwamba,,,,,,,mumewe amemwambia siku akiliacha kanisa hilo, basi Ndoa Yao itakuwa imefika ukomo pia.

M
😃😃😃Kama nilivyokuambia raha ya ngoma ingia ucheze usisimuliwe...
 
Habari wanajamii.

Naomba msaada Kwa yeyote ayefahamu Mahali Kuna HUDUMA YA FELLOWSHIP Kwa Mkoa wa Dar es Salaam.
Mimi Ni Muumini wa Hii Mambo ila sio UWATA.

Nipo Dar Kwa Muda kidogo ila Sijui mahali nitashiriki Huduma kama Hii hapa Dar.

Mimi Nipo Kimara Baruti.

Kwa anayefahamu Naomba Anifahamishe.

Shukrani.
Nenda parokia ya Makuburi ubungo
 
Habari wanajamii.

Naomba msaada Kwa yeyote ayefahamu Mahali Kuna HUDUMA YA FELLOWSHIP Kwa Mkoa wa Dar es Salaam.
Mimi Ni Muumini wa Hii Mambo ila sio UWATA.

Nipo Dar Kwa Muda kidogo ila Sijui mahali nitashiriki Huduma kama Hii hapa Dar.

Mimi Nipo Kimara Baruti.

Kwa anayefahamu Naomba Anifahamishe.

Shukrani.
Kwa ze bulldozier,ila uandae na kiingilio
 
Huko kanisani kwenu huwa hamtangaziwi mahali pa kukutaniana baada ya ibada kuisha au unasali makanisa ya manabii
Kwa Mkoa niliootoka tulikuwa na kikundi Cha Maombi.
Changamoto Naipata Baada ya kuja hapa Dar.
Naamini vipo Vikundi vingi tu vya Maombi ila Mimi simfahamu hata kimoja kutokana na ugeni wangu
 
Back
Top Bottom