Daktari W Sindabhalla
JF-Expert Member
- Jan 29, 2017
- 600
- 580
- Thread starter
-
- #21
Ktk wanafamilia hao Wawili ni wanandoa,Kiukweli Mimi sijawahi kwenda huko.
Ila Nina watu wanne kwenye Family Yangu ambao wao hawakosi Wala ibadani .
Mi natoa huduma ya kiroho ila kwa maelewano na lazima nione picha yako unafananaje?Habari wanajamii.
Naomba msaada Kwa yeyote ayefahamu Mahali Kuna HUDUMA YA FELLOWSHIP Kwa Mkoa wa Dar es Salaam.
Mimi Ni Muumini wa Hii Mambo ila sio UWATA.
Nipo Dar Kwa Muda kidogo ila Sijui mahali nitashiriki Huduma kama Hii hapa Dar.
Mimi Nipo Kimara Baruti.
Kwa anayefahamu Naomba Anifahamishe.
Shukrani.
Ungeingia ungeelewa!Kiukweli Mimi sijawahi kwenda huko.
Ila Nina watu wanne kwenye Family Yangu ambao wao hawakosi Wala ibadani .
😃😃😃Kama nilivyokuambia raha ya ngoma ingia ucheze usisimuliwe...Ktk wanafamilia hao Wawili ni wanandoa,
Na Tayari ndoa zao zimeanza kuchangamka vibaya kutokana na anayoyazungumza mmoja wao.
* Anasema kwamba,,,,,,,mumewe amemwambia siku akiliacha kanisa hilo, basi Ndoa Yao itakuwa imefika ukomo pia.
M
Ndio hao hao wanabebwa na akina kiboko ya wachawi!Ina maana wewe huna dhehebu unalo sali kweli mtumish?
Hamutakuja kusali makanisa ya wachawi kweli nyie?
Nenda parokia ya Makuburi ubungoHabari wanajamii.
Naomba msaada Kwa yeyote ayefahamu Mahali Kuna HUDUMA YA FELLOWSHIP Kwa Mkoa wa Dar es Salaam.
Mimi Ni Muumini wa Hii Mambo ila sio UWATA.
Nipo Dar Kwa Muda kidogo ila Sijui mahali nitashiriki Huduma kama Hii hapa Dar.
Mimi Nipo Kimara Baruti.
Kwa anayefahamu Naomba Anifahamishe.
Shukrani.
Kwa ze bulldozier,ila uandae na kiingilioHabari wanajamii.
Naomba msaada Kwa yeyote ayefahamu Mahali Kuna HUDUMA YA FELLOWSHIP Kwa Mkoa wa Dar es Salaam.
Mimi Ni Muumini wa Hii Mambo ila sio UWATA.
Nipo Dar Kwa Muda kidogo ila Sijui mahali nitashiriki Huduma kama Hii hapa Dar.
Mimi Nipo Kimara Baruti.
Kwa anayefahamu Naomba Anifahamishe.
Shukrani.
looh.. aisee! kweli ww ni mashine ya kuuwaSikuhizi night crubs na bar plus guest ninying dar mpaka hujui wapi ukamtumikie mungu kwa kumwabudu pole sana
Kwa Mkoa niliootoka tulikuwa na kikundi Cha Maombi.Huko kanisani kwenu huwa hamtangaziwi mahali pa kukutaniana baada ya ibada kuisha au unasali makanisa ya manabii