Wapi naweza kupata launch scanner bluetooth easy diag ya diagnosis machine ya magari kwa bei nafuu hapa Dar es Salaam

stoplight

Senior Member
Joined
Mar 30, 2021
Posts
177
Reaction score
269
Kichwa kimemaliza maelezo yote kla hiyo easy diag au ikiwa full box diagnosis machine ya kupima magar madogo ya aina yote nicheki:
WhatsApp: 0653271318.

Au nipigie kawaida 0653271318.

Karibuniii wanazengo wataalam wa mambo hapashindikani kitu humu.
 
Model ipi? Unataka Pro Tool au just ya kucheki engine light?
 
Iwe inascan any problem kwenye pia iwe inafanya calibration mbalimbali mkuu
sikia kkwanzakwa kukusaidia huwezi kuwa na mashine moja ikamaliza kila kitu..ukitaka mashine ya kihivyo ww huwezi inunua zipo mashine za 1 man show..independent tool..kuna mashine inaitwa AUTO LOGIC itafute ifuatilie ikiwa full utakimbia..but waweza inunua au makampuni makubwa yananunua na kununua package yao tuu mfano watengenezaji wa benzi au dealer wa bmw wanainunua na kulipia package ya bmw au benzi tuu..hiyo ukichomeka kwenye gari 24hrs unapata msaada wa online unaweza chomeka na kuiacha uukapimiwa na kuelezwa shida nn ..
lkn kwa hizi mashine zingine huwa zinakuwa nzuri kwa aina flani ya gari mfano mzuri hiyo launch bluetooth ina softwere tofauti kuna softwere ambayo ni nzuri kwa gari za india nyingine japan hivyo ..na kama ww ni fundi kwanza lazima useme hasa umebase kwenye kutengeneza gari za aina gani..

ASIA EUROPE AMERICA CHINA ??

ndio mm nitakwambia mashine inayokufaa ni ipi.. kama toyota usisumbuke mashine yake haifiki hata laki 2 tena original deal tool..nitakupatia..harafu we kama fundi mwenye future achana na universal car diagnosis..mara 800 ukanunua crack deal tool softwere zipo kibao au unakuwa na softwere original then unatafuta passthru original una enjoy life..
 
Daaaah babu joh sio kwelii ngoja nije huko ofsin mzee baba uniwezeshe kijan wako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…