Wapi naweza kupata mafundi wazuri wanaoweza ku-replace au ku-fix screen ya laptop?

Wapi naweza kupata mafundi wazuri wanaoweza ku-replace au ku-fix screen ya laptop?

ungeenda pale machinga complex karume ungepata kwa bei cheap sana
 
Umejipangaje kifedha?

Maana kuna mawili, aidha uliidondosha mkanda umepata hitilafu ama kuna shida kwenye GPU yenyewe.
Nami nilitaka nimuulize hivyo huenda aliigonga au kioo kinakaribia kufika mwisho wake kama sio mkanda
 

Attachments

  • IMG_20210211_102354.jpg
    IMG_20210211_102354.jpg
    177.9 KB · Views: 4

Attachments

  • IMG_20210211_102625.jpg
    IMG_20210211_102625.jpg
    114.3 KB · Views: 3
  • IMG_20210211_102554.jpg
    IMG_20210211_102554.jpg
    94.3 KB · Views: 3
  • IMG_20210211_102502.jpg
    IMG_20210211_102502.jpg
    156.7 KB · Views: 3
  • IMG_20210211_102448.jpg
    IMG_20210211_102448.jpg
    169.4 KB · Views: 3
  • IMG_20210211_102426.jpg
    IMG_20210211_102426.jpg
    162.3 KB · Views: 3
  • IMG_20210211_102404.jpg
    IMG_20210211_102404.jpg
    172.2 KB · Views: 3
Wakuu desktop inaniletea hizo error I'm trying my best lakini wapiii mbaya zaidi kuna software ipo kwenye hiyo hdd ninashida nayo vibaya mnooo
20210211_151429.jpeg
 
Kuna desktop motherboard yake imeungua capacitors za ndani za kile kimstari cha kusomea RAM. Fundi kadai kwa vile ni AMD haitengenezeki kwahiyo ninunue CPU nyingine. Wakuu kuna ukweli katika hili maana niliagiza mtu aende na karudi ananambia hivi
 
Back
Top Bottom