Wapi naweza kupata mashine ya kuprint mabango?

Boyee

Member
Joined
Nov 2, 2017
Posts
18
Reaction score
26
Habari wadau...

Nashida na mashine ya kuprint mabango, msaada tafadhali.
 
Hizo mashine hazipatikani kirahisi rahisi. Mara nyingi ni hadi uagize China.
 
Nipigie 0788643144 niambie unataka ya ukubwa gani. Zipo Kuanzia 1.6m 1.8m 2.5m na 3.2m machine zipo za kutosha. Utapewa na 1 roll of sticker for testing.

Material pia za printing zipo.
 
Habari wadau...

Nashida na mashine ya kuprint mabango, msaada tafadhali.
Nipigie 0788643144 niambie unataka ya ukubwa gani. Zipo Kuanzia 1.6m 1.8m 2.5m na 3.2m machine zipo za kutosha. Utapewa na 1 roll of sticker for testing.

Material pia za printing zipo.
 
Hizo mashine hazipatikani kirahisi rahisi. Mara nyingi ni hadi uagize China.
Hapana hana haja ya kwenda china tunazo hapa hapa Tanzania, free installation, training, and starting material.
 
Nipigie 0788643144 niambie unataka ya ukubwa gani. Zipo Kuanzia 1.6m 1.8m 2.5m na 3.2m machine zipo za kutosha. Utapewa na 1 roll of sticker for testing.

Material pia za printing zipo.
unapatikana wapi mkuu hapa tz
 
Nashauri kabla ya Kuagiza au kutaka mashine pitia kwanza Jinsi Mabango yanavyokuwa Printed there are more than one way to skin a Cat....

Mabango kama ni chuma katikati kuna carpet basi any wide format itaprint alafu inafungwa kwenye chuma...., Mabango makubwa zaidi unaweza ukaprint ukubwa wa A0 au A2 alafu unabandika kwa gundi kwenye background...

Narudia tena kwanza pitia the HOW ukishajua utanunua accordingly.....

Vilevile kama Soko unalo kubwa nakushauri sio lazima ununue mashine unaweza ukawa una outsource printing wewe unakwenda kufanya installation (amini nakwambia kwa njia hii huenda ukapata faida zaidi with less costs)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…