amani iwe nanyi wapendwa, nahitaji mkopo wa mil 15 mimi ni mwajiliwa serikalini kama kuna benki yoyote inayoweza kukopesha huo mkopo au kwa upande wa aseti nina viwanja lakni havijapimwa sijui kama naweza kuweka bondi. Naomba kwa yeyote anayefaham pahara napoweza kupata hyo pesa