Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ajifunze kuagiza sio 😂Agiza Nairobi, utapata chap. Dar es Salaam tunakosa mambo mengi sana bado
😀😀😀 muhimu , hakuna spare mtaa wa piliAjifunze kuagiza sio 😂
Eeh nyie si mnamdiss Al watan wa kijapani Toyopet! Atabaki kileleni 😂😂😂 ball joints zetu zipo Ilala nyie zenu zipo kwa Kenyatta 😃😀😀😀 muhimu , hakuna spare mtaa wa pili
Toyota unakuwa huna mawazo kabisa, haya mengine yakizingua unajiandaa kulipaki hata wiki tatu au mwezi.. hadi spea ifike kama utaikosa NairobiEeh nyie si mnamponda Al watan wa kijapani Toyopet! Atabaki kileleni 😂😂😂
Eeh Toyota ni backup vehicle nunueni magari ila msiache kununua Toyota wazee 😂😂😂Toyota unakuwa huna mawazo kabisa, haya mengine yakizingua unajiandaa kulipaki hata wiki tatu au mwezi.. hadi spea ifike kama utaikosa Nairobi
Ushauri mzuri sana..Agiza Nairobi, utapata chap. Dar es Salaam tunakosa mambo mengi sana bado
😀😀😀😀 sio lazima toyota kikubwa uwe na mijerumani hata minne, haiwezi haribika yote kwa wakati mmojaEeh Toyota ni backup vehicle nunueni magari ila msiache kununua Toyota wazee 😂😂😂
Hahahah unaongelea kipato chako kama GDP mjomba😂😂😂!!! Mie nawajua wamatumbi wenzangu ndio maana nasisitiza Toyopet ahusike tu. Mjerumani ni karanga za kuonja 😃😃😃😀😀😀😀 sio lazima toyota kikubwa uwe na mijerumani hata minne, haiwezi haribika yote kwa wakati mmoja
Achana na kariakoo unapoteza muda, place order yako NairobiNafikiria kuagiza Kenya sasa kama kariakoo wakizingua
sent from HUAWEI
Hiyo oda Nairobi unaipress vip...au kuna agentAchana na kariakoo unapoteza muda, place order yako Nairobi
Spare inapatikana, na huwa nafanya shughuli ya spare parts za gari yeyote kutoka Nairobi, chamuhimu mawasilianoHiyo oda Nairobi unaipress vip...au kuna agent
Mkuu hiyo gari naihusudu sana! Siku mbeleni tunaweza kukutana nairobi tukitafuta spare!Nafikiria kuagiza kenya sasa kama kariakoo wakizingua
sent from HUAWEI
Unamshauri achomeke inayofanana na hiyo au atafute ya mazda yenyewe ?Tatizo watu hawajui namna ya kutafuta spea ambazo si za Toyota..Magari ya japan kuna vikorokoro vingi sana vinaingiliana...hapo chomoa hiyo ball joint pita nayo madukani, watakupatia inayoganana na hiyo..
Ukimuambia ni ya mazda, wala hata hajisumbia kuitafuta atakujibu tu, hamna..
Hayo ndio mambo ya kuvaa suruali ya kike kisa size ya kiuno iko sawaTatizo watu hawajui namna ya kutafuta spea ambazo si za Toyota..Magari ya japan kuna vikorokoro vingi sana vinaingiliana...hapo chomoa hiyo ball joint pita nayo madukani, watakupatia inayoganana na hiyo..
Ukimuambia ni ya mazda, wala hata hajisumbia kuitafuta atakujibu tu, hamna..
Cheki na huyu sisterHbr wanajamvi ,kwa dar wapi naweza kupata spare ya Mazda CX -5 gari ni ya mwaka 2013
Spare part no 3/J
Natanguliza shukrani.
View attachment 1831092
sent from HUAWEI
Cheki na huyu mdau ana deal na spare za Mazda na Ford tu 0712199494 anapatikana DarHbr wanajamvi ,kwa dar wapi naweza kupata spare ya Mazda CX -5 gari ni ya mwaka 2013
Spare part no 3/J
Natanguliza shukrani.
View attachment 1831092
sent from HUAWEI