Nasikitika kuuona uzi wako muda ukiwa umeenda naomba mara nyingine unitafute .
Japo na sasa kiazi kipo bei ni 30 / 28 wanaita vipeto kwahiyo na mimi napima kwa vipeto siwezi kueleza vipeto ni nini na mimi huku kijijini ni wa kuja labda kwa picha waweza nielewa .
Note: mimi sio dalali ni mkulima .