Wapi ndugu zangu waweza uza madini ya Ruby?

Wapi ndugu zangu waweza uza madini ya Ruby?

Rubby ya ukweli inapatikana kwenye maji chini kabisa baada ya kutoboa mwamba ila kama ni makpishoni kapishoni yanapatikana juu juu tu kwenye miamba ya juu. Rubby ni madini ghali sanaa...linawaka vizuri sanaa ukilikuta ndio lenyewe lina rangi ya Big G ama ile taa ya nyuma ya gari ikiwaka usiku ndio namna Ruby inavyokuwa . Madini safi sanaa kupigia biashara.
MKuu katika hizo aina za Rubby. Ya kwenye miamba kama mpwapwa na ya miamba iliyochini ya maji ipi bora? Na je utajuaje kama mwamba uliochini ya mto huu hapa unarubby? Najua miamba unapima. Hiyo ya chini ya maji ndoo nataka msaada wa kueleweshwa
 
Usipoteze muda, kabla ya kupost mada ni bora ungetanguliza picha then uulize nini? Hizo mkuu zinaitwa Quartz ( white quartz, amethyst quartz,..e.t.c)
Thanks kwa kunipatia jina ya vitu hivi.....
 
Soko la uhakika ni Arusha ule mtaa nimeusahau jina lakini ntakuambia later na wanunuzi wazuri ni Wathailand . Kwa upande wa Dsm yupo mmoja wa Australia naye mzuri. Cha muhimu wacha yaje kwanza ili uangalie quality kuanzia hapo hakuna kitakacho haribikaa
habari Mimi ninazo ruby semi gems niunganishe muastralia
 
Talentbrain nilikuthibitishia kuwa hao jamaa ni wasanii tuu. Hayo mawe ni Amethyst halafu ni worst quality (uchafu). Pole kama utakua umewatumiatumia vihela vya vocha maana wadau hao ndio zao
 
Back
Top Bottom