talentbrain
JF-Expert Member
- Oct 5, 2009
- 1,187
- 760
- Thread starter
- #41
Nitakutafuta... ila ni vema uje PM0754632920
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nitakutafuta... ila ni vema uje PM0754632920
Picha zaidi.... wamenitumia vipande 15 tu.
MKuu katika hizo aina za Rubby. Ya kwenye miamba kama mpwapwa na ya miamba iliyochini ya maji ipi bora? Na je utajuaje kama mwamba uliochini ya mto huu hapa unarubby? Najua miamba unapima. Hiyo ya chini ya maji ndoo nataka msaada wa kueleweshwaRubby ya ukweli inapatikana kwenye maji chini kabisa baada ya kutoboa mwamba ila kama ni makpishoni kapishoni yanapatikana juu juu tu kwenye miamba ya juu. Rubby ni madini ghali sanaa...linawaka vizuri sanaa ukilikuta ndio lenyewe lina rangi ya Big G ama ile taa ya nyuma ya gari ikiwaka usiku ndio namna Ruby inavyokuwa . Madini safi sanaa kupigia biashara.
Thanks kwa kunipatia jina ya vitu hivi.....Usipoteze muda, kabla ya kupost mada ni bora ungetanguliza picha then uulize nini? Hizo mkuu zinaitwa Quartz ( white quartz, amethyst quartz,..e.t.c)
habari Mimi ninazo ruby semi gems niunganishe muastraliaSoko la uhakika ni Arusha ule mtaa nimeusahau jina lakini ntakuambia later na wanunuzi wazuri ni Wathailand . Kwa upande wa Dsm yupo mmoja wa Australia naye mzuri. Cha muhimu wacha yaje kwanza ili uangalie quality kuanzia hapo hakuna kitakacho haribikaa