Wapi ni safe kuagiza LCD screen ya Huawei P40 lite kati ya Aliexpress au Alibaba?

Wapi ni safe kuagiza LCD screen ya Huawei P40 lite kati ya Aliexpress au Alibaba?

February Makamba

JF-Expert Member
Joined
Jan 31, 2020
Posts
2,151
Reaction score
2,983
Wakuu,
Katochi kangu kameanguka na kupasuka kioo..Najua Kariakoositakipata kwahyo Nina mpango wa kuagiza China, wapi ni salama zaidi na uhakika kupata bidhaa kati ya Aliexpress na Kikuu?

Aliexpress sina experience nao lakini naona ndiyo wanavyo vingi na pia bei zao ni ndogo lakini sijajua issue ya usalama wa mzigo kufika na kama kuna additional costs kwenye kuuchukua mzigo.
Halafu najua Kikuu wana ofisi zao mzigounakuja direct mpaka mikoani, Hawa Aliexpress mzigo unaupokelewa wapi?
Au ndio bandarini?
chekini hizi options
Chief-Mkwawa
 
Wakuu,
Katochi kangu kameanguka na kupasuka kioo..Najua Kariakoositakipata kwahyo Nina mpango wa kuagiza China, wapi ni salama zaidi na uhakika kupata bidhaa kati ya Aliexpress na Kikuu?

Aliexpress sina experience nao lakini naona ndiyo wanavyo vingi na pia bei zao ni ndogo lakini sijajua issue ya usalama wa mzigo kufika na kama kuna additional costs kwenye kuuchukua mzigo.
Halafu najua Kikuu wana ofisi zao mzigounakuja direct mpaka mikoani, Hawa Aliexpress mzigo unaupokelewa wapi?
Au ndio bandarini?
chekini hizi options
Chief-Mkwawa
nicheki dm kuna link ya telegram nikupe kule huwa wanaagiza sana kupitia AliExpress

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
 
Wakuu,
Katochi kangu kameanguka na kupasuka kioo..Najua Kariakoositakipata kwahyo Nina mpango wa kuagiza China, wapi ni salama zaidi na uhakika kupata bidhaa kati ya Aliexpress na Kikuu?

Aliexpress sina experience nao lakini naona ndiyo wanavyo vingi na pia bei zao ni ndogo lakini sijajua issue ya usalama wa mzigo kufika na kama kuna additional costs kwenye kuuchukua mzigo.
Halafu najua Kikuu wana ofisi zao mzigounakuja direct mpaka mikoani, Hawa Aliexpress mzigo unaupokelewa wapi?
Au ndio bandarini?
chekini hizi options
Chief-Mkwawa
Aliexpress kwasababu ni kwa ajili ya mauzo ya rejareja while alibaba ni kwa wholesale
 
Aliexpress mzigo unaupokelea wapi? Kuna additional costs wakati wa kupokea mzigo?
In case ukisafirishwa kwa njia ya posta, ukifika watakupgia simu na watakwambia kiasi cha kodi ambacho uatabidi ukienda kuuchukua ulipie.
Kama ukiusafirisha kupitia hawa wasafirishaji kama silent ocean, mpemba et el, hakuna additional costs.
 
In case ukisafirishwa kwa njia ya posta, ukifika watakupgia simu na watakwambia kiasi cha kodi ambacho uatabidi ukienda kuuchukua ulipie.
Kama ukiusafirisha kupitia hawa wasafirishaji kama silent ocean, mpemba et el, hakuna additional costs.
Si nimesikia AliExpress wamekata kamba na posta, mizigo mimi niliagiza recently haikuletwa na posta
 
Si nimesikia AliExpress wamekata kamba na posta, mizigo mimi niliagiza recently haikuletwa na posta
Oh sina hakika maana sijaagiza mzigo wowote via aliexpress kwa zaidi ya miezi 5
 
In case ukisafirishwa kwa njia ya posta, ukifika watakupgia simu na watakwambia kiasi cha kodi ambacho uatabidi ukienda kuuchukua ulipie.
Kama ukiusafirisha kupitia hawa wasafirishaji kama silent ocean, mpemba et el, hakuna additional costs.
Na ikiletwa na hawa silent ocean etc. inamaana shipping costs zinaongezeka juu ya zile bei walizoweka mtandaon?
 
Na ikiletwa na hawa silent ocean etc. inamaana shipping costs zinaongezeka juu ya zile bei walizoweka mtandaon?
Yani hapo ni kuzungumza na muuzaji aship mzigo kwenda ofisi za hao wasafirishaji ambazo almost zote ziko guangzhou, then ukifika watausafirisha kuja tz. Gharama lazima ziongezeke ambapo kwa display sidhani kama zitakuwa kubwa maana wanachaj kwa kg. Unawasiliana nao via simu watakupa gharama. Ila si kila muuzaji anakubali maana aliexpress si kwa ajili ya kuship vitu within china na ndio maana wachina wenyewe hawanunua vitu from it online.
 
Yani hapo ni kuzungumza na muuzaji aship mzigo kwenye ofisi zao ambazo almostw are ziko guangzhou, then ukifika watausafirisha kuja tz. Gharama lazima ziongezeke ambapo kwa display sidhani kama zitakuwa kubwa maana wanachaj kwa kg. Unawasiliana nao via simh watakupa gharama. Ila si kila muuzaji anakubali maana aliexpress si kwa ajili ya kushio vitu within china na ndio maana wachina wenyewe hawanunua vitu from it online.
Mkuu naomba uedit vizuri hii comment sijaielewa
 
Yani hapo ni kuzungumza na muuzaji aship mzigo kwenye ofisi zao ambazo almostw are ziko guangzhou, then ukifika watausafirisha kuja tz. Gharama lazima ziongezeke ambapo kwa display sidhani kama zitakuwa kubwa maana wanachaj kwa kg. Unawasiliana nao via simh watakupa gharama. Ila si kila muuzaji anakubali maana aliexpress si kwa ajili ya kushio vitu within china na ndio maana wachina wenyewe hawanunua vitu from it online.
Ulishawahi agiza na Alibaba? kama ni ndio vipi kuhusu Tax? ilikuwaje labda tuseme kwa mzigo wa $500
 
Ulishawahi agiza na Alibaba? kama ni ndio vipi kuhusu Tax? ilikuwaje labda tuseme kwa mzigo wa $500
Mkuu nshawahi ila siwez kukupa gharama za tax maana wasafirishaji huwa natumia mpemba na silent ocean wao wanakupa gharama ya jumla mpaka unachukua mzigo so tax na kila kitu wanakuwa washalipa wao. Na kama ni mzigo mkubwa wao wanakuchaj kwa cbm kama unakuja kwa maji na humo wamejumuisha gharama zote
 
Obvious kwa kutumia agents gharama zitakuwa zinazid za kuagiza direct

Ahsante Mkuu.
Mkuu nshawahi ila siwez kukupa gharama za tax maana wasafirishaji huwa natumia mpemba na silent ocean wao wanakupa gharama ya jumla mpaka unachukua mzigo so tax na kila kitu wanakuwa washalipa wao. Na kama ni mzigo mkubwa wao wanakuchaj kwa cbm kama unakuja kwa maji na humo wamejumuisha gharama zote
 
Obvious kwa kutumia agents gharama zitakuwa zinazid za kuagiza direct

Ahsante Mkuu.
Yah but kama wanunua bidhaa nyingi ndio option rahisi kutumia. Ndugu yangu mmoja ananunuaga mitumba mabalo yanafika anauza anapga faida nzuri. Sema anayepeleka mkoa hauzi dar
 
Back
Top Bottom