Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Mtaa wa Mtendeni, hata Khimji ana vitambaa vizuri vya cadetAsante. Yapo wapi hayo maduka?
Mtendeni StMtendeni ni Kariakoo?
Hii ni ngumu kupata jibu. Mtu anapenda kuvaa kanzu, mwingine anapenda jeans ,wewe uulize zina nini cha ajabu? Mara nyingi uzuri au ubaya upo machoni ama akilini mwa mhusika anaekitazama kitu husika.Naomba kujua zina nini cha ajabu!