Afyayaakili
JF-Expert Member
- Sep 12, 2012
- 924
- 1,263
Wadau naomba kujua wapi nitapata aina hii ya mifuko kwa bei ya jumla kwa Dar au Arusha. Au hata kama ushawahi kununua bei zake zinaendaje. Maan naona ndio itakuja kuwa mbadala wa mifuko ya nylon nahisi future ya biashara ya vibebeo iko huku.