Wapi nitapata aina hii ya mifuko kwa Dar au Arusha

Wapi nitapata aina hii ya mifuko kwa Dar au Arusha

Afyayaakili

JF-Expert Member
Joined
Sep 12, 2012
Posts
924
Reaction score
1,263
Wadau naomba kujua wapi nitapata aina hii ya mifuko kwa bei ya jumla kwa Dar au Arusha. Au hata kama ushawahi kununua bei zake zinaendaje. Maan naona ndio itakuja kuwa mbadala wa mifuko ya nylon nahisi future ya biashara ya vibebeo iko huku.
B8EADE9C-F54C-4ABE-8866-E76582535F45.jpeg
BF9EA784-3A04-4381-A47D-E06B67E90176.jpeg
 
Back
Top Bottom