Wapi nitapata bidhaa za nywele asili?

Habari za muda huu wakuu,

Naomba kuuliza ni wapi naweza kupata bidhaa za nywele asili kama shampoo, leav in conditioner, deep conditioner nk.. kwa bei ya jumla. Nahitaji kuanza biashara huu nipo Musoma.
Natural Skin solutions tunaandaa vipodozi organic kwa mimea na matunda kwa ajili ya ngozi na nywele asilia.




Tuko maili moja Kibaha,
Tupigie kwa 0713039875,
 
Sawa ila mimi nahitaji kuuza za brand tofauti tofauti sio brand moja tu
Sawa ni jambo zuri, kikubwa pitia pia muongozo wa TBS kuna viambaata vya shampoo kama zinc wamezuia, na jumatau ilopita watu kariakoo wamepoteza mitaji yao. Kwa sisi wa organic tuna kamua mafuta kama ya karafuu na parachichi hakuna mba atabaki
 
Natural Skin solutions tunaandaa vipodozi organic kwa mimea na matunda kwa ajili ya ngozi na nywele asilia.




Tuko maili moja Kibaha,
Tupigie kwa 0713039875,
Naweza pata kwa matumizi ya kawaida?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…