Wapi nitapata darasa la jioni kwa kozi ya LLB hapa dar

Wapi nitapata darasa la jioni kwa kozi ya LLB hapa dar

Nitafute nikufundishe law of contract, sales of goods act, criminal procedure law,insurance law,legal methods,legal system of east africa,banking law,criminal law,evidence act,jurisprudence ,constitutional law,administrative law,n.k mtafute na mwenzio nije tusome niko siriaz

duh mkuu hakuna kozi inaitwa evidence act....hahahaha,hapo umechemka perhaps ulitaka kusema "evidence law" or "law of evidence"
 
sidhani kama kunaukweli hapo kuna jamaa zangu nilikutana nao Law school walikuwa vema tu na wengi wanafanya vizuri

Acha kujifariji na hao jamaa zako...watu wa tumaini ni janga pale law school,yaani wengine hata kuandika kiingereza cha kawaida hawajui...ni vilaza hadi unatamani ujitundike,ukifikiria majority ya watanzania wanaotegemea huduma zao!
 
Yeah nmepata taarifa kuhusu bagamoyo university ila hawa wajamaa gharama zao ni kubwa sana kiasi cha kunifanya nishindwe kusoma pale tution fee pekee ni over 2mil sasa hii kwa kipato changu nitashindwa

kumbe hauna hela sasa unataka kusoma LL.B ya uzeeni ya nn?
 
Jikusanyeni tu niwapigie vitu tutaanza na masomo matano tu 1.law of contract 2.criminal procedure 3.insurance law 4.legal methods 5.legal system of east africa ,nipo kimara mwisho ,napiga part time vyuo vya paradigms ,tanzania international university pale nawapigia busines law ,legal and ethical aspect in marketing , Nipo pia partime TIA nawapigia watu wa certificate commercial law ,nipo pia nawapigia watu wa open university , pia nipo parttime EUKENFORD Nawapigia busines law
 
kumbe hauna hela sasa unataka kusoma LL.B ya uzeeni ya nn?
We ulitaka niseme ninayo wakati sina? Mungu akubariki wewe mwenye nyingi za kujitosheleza

Kuhusu uzee ngoja nikae kimya wenye kunijua kama ndugu yangu Makbel najua watakuwa wamekushangaa
 
Last edited by a moderator:
Jikusanyeni tu niwapigie vitu tutaanza na masomo matano tu 1.law of contract 2.criminal procedure 3.insurance law 4.legal methods 5.legal system of east africa ,nipo kimara mwisho ,napiga part time vyuo vya paradigms ,tanzania international university pale nawapigia busines law ,legal and ethical aspect in marketing , Nipo pia partime TIA nawapigia watu wa certificate commercial law ,nipo pia nawapigia watu wa open university , pia nipo parttime EUKENFORD Nawapigia busines law

duh wewe huyooo...hahaha
 
We ulitaka niseme ninayo wakati sina? Mungu akubariki wewe mwenye nyingi za kujitosheleza

Kuhusu uzee ngoja nikae kimya wenye kunijua kama ndugu yangu Makbel najua watakuwa wamekushangaa

hahaha sasa tungejuaje kwamba we kijana
 
Last edited by a moderator:
Acha kujifariji na hao jamaa zako...watu wa tumaini ni janga pale law school,yaani wengine hata kuandika kiingereza cha kawaida hawajui...ni vilaza hadi unatamani ujitundike,ukifikiria majority ya watanzania wanaotegemea huduma zao!

sio kujifariji mi nasema kile ninachokijua na hao jamaa zangu tumemaliza nao
 
hilo la wizi wa mitihani tumaini lina ukwel kiasi gani?,ni kwa kozi zote ama llb tu?
 
mleta thread ukipata nisms 0782789225 nami nahitaji ntalipia pia.
 
Tutapiga torts 1 ,torts 2 , intellectual property law 3.company law 4.banking law 5.civil procedure i 6.civil procedure ii 7.legal research 8.alternative dispute resolution (ADR) 9.International law 10.family law 11.banking law 12.company law 13.human rights 14.legal method ii 15.cooperative law and policy
 
Back
Top Bottom