Wapi nitapata huduma ya kupima afya ya udongo?

Wapi nitapata huduma ya kupima afya ya udongo?

majuze

Member
Joined
Aug 20, 2014
Posts
32
Reaction score
8
Habari wakuu?
Naomba kujua wapi nitapata huduma ya kupimiwa afya ya udongo kwa ajili ya kujua udongo unafaa kwa zao lipi? Nipo Mwanza
 
Kwa kanda ya ziwa sina uhakika sana,lakini hebu jaribu kucheki hapo Ukiliguru chuo cha kilimo.

But kwa huku Pwani tuna maabara hapo SUA na Mlingano Research Institute, Tanga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nenda kwa mkuu wa wilaya mahali ulipo kisha ulizia bwana kilimo wa wilaya hapo kidogo unaweza kujua mwanzo wa swala lako
 
Habari wakuu?
Naomba kujua wapi nitapata huduma ya kupimiwa afya ya udongo kwa ajili ya kujua udongo unafaa kwa zao lipi? Nipo Mwanza
Nenda hapo LZARDI Ukirigulu au panaitwa TARI Ukirigulu utapata huduma bila kupoteza muda!
 
Nenda kwa mkuu wa wilaya mahali ulipo kisha ulizia bwana kilimo wa wilaya hapo kidogo unaweza kujua mwanzo wa swala lako
Ni wilaya gani ambayo Bwana Kilimo anakaa kwa Mkuu wa wilaya?
 
Back
Top Bottom