Wapi nitapata kengele (Bell)

[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kaibe kanisani!
πŸ˜€πŸ˜πŸ˜‚πŸ˜…πŸ˜„πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
Unaweza Kutoka Majipu Mwili Mzima
Halafu Hutaweza Kumbuka Lile Ni Zito Sana Na Linawekwa Juu, Utaweza Sasa. Chuma Cha Pua!!
 
Usihangaike tumia rim za magari kama mashuleni
Mkuu
Ushauri Mzuri Sana Ila Kuna Tofauti Kubwa Sana
Ukisikia Mlio Wa Kengele Toka Germany Na Italy Vatican City, Tunasema Hiyo Inalia Kama Kinanda




Rim Haaa Yenyewe Hata Nikitaka Fuso Najua Muda Huu Unaniletea Haraka Sana, πŸ€£πŸ€£πŸ˜ƒπŸ˜„πŸ˜„πŸ˜…
 
Nako Huko Pia Mnatumia Kengele Na Mnapiga Mapigo Ya Kanisani Kabisa Ama Vp,
Kanisani Utaisikia Alfajiri, Mchana, Jioni Na Kwenye Matukio Maalum Ngo~Ngo ~Ngo
Huku kwenye ceremony zetu huwa tunatumia hizi sana, karibu sana mkuu siku moja
 
Nako Huko Pia Mnatumia Kengele Na Mnapiga Mapigo Ya Kanisani Kabisa Ama Vp,
Kanisani Utaisikia Alfajiri, Mchana, Jioni Na Kwenye Matukio Maalum Ngo~Ngo ~Ngo
Sample hizi kadhaa, niambie wataka ipi
 
Huku kwenye ceremony zetu huwa tunatumia hizi sana, karibu sana mkuu siku moja
Ibada Zenu Mnafanyia Wapi
Leo Ndiyo Najua Huko Nako Mnatumia Kengele
Kua Uyaone, Mambo Mengi Sana. Hapa Hapa Nitajua Mengi Kuhusu Kengele Ninayoitaka
 
Ibada Zenu Mnafanyia Wapi
Leo Ndiyo Najua Huko Nako Mnatumia Kengele
Kua Uyaone, Mambo Mengi Sana. Hapa Hapa Nitajua Mengi Kuhusu Kengele Ninayoitaka
Hizi kengele huwa tunatumia kuzipa ishara roho, ili ziwe katika unit ya kukaa kwa hali ya utulivu kwa ajiri ya roho kuu kuanza kuendesha ibada na miongozi ili portal ( malango nayo yafunguke ).. huamsha roho na kuziweka tayari, malango kufunga na shughuli za kiroho huanza
 
Wasiliana na hawa : Christoph Paccard Bell Foundry
2652 Bonds Avenue, Suite 202
N. Charleston, SC 29405 USA
info@christophpaccard.com[/QUOTE]
 
Kivipi mkuu, kuna threads kadhaa zimepita pita baada ya Mkapa kufariki zikiuliza, "Nani atamfunga Paka kengele?".

Huyu jamaa kaamua kuwa serious na hii kitu.
Sa likengere kuuubwa ivo tena ameuliza na urefu kiasi gani alifunge ili lilie ngo ngo ngo umbali mrefu
 
Anataka akamfunge PAKA kengele.
Mkuu
Tuko Pamoja Kwenye Mchakato Wetu Wa Kupata Kengele Naona Uelekeo Ni Mzuri Sana Tumepata Mpaka Uelekeo Wa Bei.

Paka Anatakiwa Kengele Bora!!!πŸ˜πŸ˜€πŸ˜„πŸ˜„πŸ˜…πŸ˜ƒπŸ˜ƒ
 
Hilo ndo lenyewe, inabidi kila Paka anakoenda tuwe kwamba anakuja.
Nilisema Paka Atakufa Kengele Ikiwa Kubwa Sana
Ukasema Nikiipata Nimfunge Hivyo Hivyo πŸ˜€πŸ˜…
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…