Tonsils ni part of sensory receptors ambazo hukupa taarifa ya uwepo wa bacteria wabaya kwenye mwili wako ambao wamekuingia kwa njia ya hewa au kumeza kitu kilichowabeba.
Bacteria wanasafiri kwa njia ya hewa na maji maji kuingia mwilini. Unaweza kuwa umevuta hewa yenye vimelea vya bacteria au umetumia maji, chakula, kinywaji kilichoandaliwa kwa maji ambayo si salama na yamebeba bacteria wengi.
Sababu yako ya kupata chronic bacterial infection inaweza kuwa inahusiana na matumizi mabaya ya dawa zozote zenye asili ya antibiotics au matumizi ya dawa zenye nguvu inayosababisha kidhoofu kwa kinga ya mwili au vyote kwapamoja ikichangiwa na lishe duni.
Kukushauri kama ni mtumiaji sana wa dawa kali especially antibiotics na zinginezo basi upunguze kama sio kuacha kabisa, nenda kapate vipimo hospital wakupe picha halisi ya mwili wako kiafya.
Kukusaidia zaidi, chukua maji ya moto wastani ambayo utaweza yaweka na kusukutulia mdomoni mwako, weka chumvi kwa uwiano wa 250 ml kijiko cha chakula kimoja. Halafu tumia hayo maji kujigurgle kooni yaani ile kuweka maji kooni bila kuyameza ukisukutua.
Itakusaidia kuwashambulia hao bacteria hapo kooni na kuwapunguza kwa kasi sana na hatimae kuwatokomeza kabisa wasiwepo hapo kooni.
Usiishie hapo, tafuta vidonge vya vitamin C na D au ukikosa then fanya upate vile vya multivitamin itakuwa poa zaidi. Umeze kwa maelekezo ya pharmacist atayokupa.
Ongezea na kutumia maji ya limao yaani Lemonade kwa vipimo hivi, maji yaliyochemshwa jikoni ukatia mdalasini yakapoa vizuri hata yakiwekwa kwenye friji yakapoa ni sawa tu. Hayo maji unakamulia limao kubwa zile moja na nusu au hata mbili, kisha unaweka asali (kama ni mtumiaji wa asali). Ila unaweza kuweka sukari kwa kiwango kidogo tu. Then unakunywa kama juice.
Vitamin C inaboost sana Immunity yaani kinga ya mwili, na vitamin D inamsaada sana kuzisaidia seli zako kuweza kufyoza virutubisho kama vitamin C na vinginevyo kwa haraka na urahisi.
Limao inabeba vitamin C kwa wingi sana lakini pia ina vihuisho vya seli na kuzipa uwezo wa kuzaliana kwa wingi zaidi ikiwa kuzipa ufanisi kuputia nourishment.
Najua ukienda hospital utapewa antibiotics, sikushauri utumie. Hazitakupa unafuu.
Kwa ushauri zaidi unajua namna ya kunipata.