Wapi nitapata matibabu ya tonsils sugu?

Wapi nitapata matibabu ya tonsils sugu?

Aisee why umtakie mwenzio balaa kiasi hicho? Yàan badala ya kumpa pole wewe ndio unamuongezea stress?? Dah!
Inaweza kuwa sababu, unajua hata ukimla mate mpenzi wako na kinywa chake kimesheheni bacteria wabaya wewe nae utapata infections kama yeye.
 
Inaweza kuwa sababu, unajua hata ukimla mate mpenzi wako na kinywa chake kimesheheni bacteria wabaya wewe nae utapata infections kama yeye.
Dah! Umeshauri mambo ya msingi sana juu ya ugonjwa huu. Wengi tunakumbuka na hili tatizo. Kuhusu maji ya moto mimi mwenyewe naona yananisaidia tangu nianze kunywa, kuna mahali nilisoma ila wao walisema unakunywa tu bila kuweka chochote, ila naona wewe umeongezea na kuweka chumvi kidogo,,, safi sana naamini wengi watanufaika na ushauri wako
 
Tonsils ni part of sensory receptors ambazo hukupa taarifa ya uwepo wa bacteria wabaya kwenye mwili wako ambao wamekuingia kwa njia ya hewa au kumeza kitu kilichowabeba.

Bacteria wanasafiri kwa njia ya hewa na maji maji kuingia mwilini. Unaweza kuwa umevuta hewa yenye vimelea vya bacteria au umetumia maji, chakula, kinywaji kilichoandaliwa kwa maji ambayo si salama na yamebeba bacteria wengi.

Sababu yako ya kupata chronic bacterial infection inaweza kuwa inahusiana na matumizi mabaya ya dawa zozote zenye asili ya antibiotics au matumizi ya dawa zenye nguvu inayosababisha kidhoofu kwa kinga ya mwili au vyote kwapamoja ikichangiwa na lishe duni.

Kukushauri kama ni mtumiaji sana wa dawa kali especially antibiotics na zinginezo basi upunguze kama sio kuacha kabisa, nenda kapate vipimo hospital wakupe picha halisi ya mwili wako kiafya.

Kukusaidia zaidi, chukua maji ya moto wastani ambayo utaweza yaweka na kusukutulia mdomoni mwako, weka chumvi kwa uwiano wa 250 ml kijiko cha chakula kimoja. Halafu tumia hayo maji kujigurgle kooni yaani ile kuweka maji kooni bila kuyameza ukisukutua.

Itakusaidia kuwashambulia hao bacteria hapo kooni na kuwapunguza kwa kasi sana na hatimae kuwatokomeza kabisa wasiwepo hapo kooni.

Usiishie hapo, tafuta vidonge vya vitamin C na D au ukikosa then fanya upate vile vya multivitamin itakuwa poa zaidi. Umeze kwa maelekezo ya pharmacist atayokupa.

Ongezea na kutumia maji ya limao yaani Lemonade kwa vipimo hivi, maji yaliyochemshwa jikoni ukatia mdalasini yakapoa vizuri hata yakiwekwa kwenye friji yakapoa ni sawa tu. Hayo maji unakamulia limao kubwa zile moja na nusu au hata mbili, kisha unaweka asali (kama ni mtumiaji wa asali). Ila unaweza kuweka sukari kwa kiwango kidogo tu. Then unakunywa kama juice.

Vitamin C inaboost sana Immunity yaani kinga ya mwili, na vitamin D inamsaada sana kuzisaidia seli zako kuweza kufyoza virutubisho kama vitamin C na vinginevyo kwa haraka na urahisi.

Limao inabeba vitamin C kwa wingi sana lakini pia ina vihuisho vya seli na kuzipa uwezo wa kuzaliana kwa wingi zaidi ikiwa kuzipa ufanisi kuputia nourishment.

Najua ukienda hospital utapewa antibiotics, sikushauri utumie. Hazitakupa unafuu.


Kwa ushauri zaidi unajua namna ya kunipata.
Safi sana
 
Baada Ya Mtaalam Mbobezi Mzizi Kuingia Hapo Nasema Tu Thread Closed From Now Onwards
 
Dah! Umeshauri mambo ya msingi sana juu ya ugonjwa huu. Wengi tunakumbuka na hili tatizo. Kuhusu maji ya moto mimi mwenyewe naona yananisaidia tangu nianze kunywa, kuna mahali nilisoma ila wao walisema unakunywa tu bila kuweka chochote, ila naona wewe umeongezea na kuweka chumvi kidogo,,, safi sana naamini wengi watanufaika na ushauri wako
Tumia kusukutulia. Yaani unaweka chumvi kwaajiri ya kusukutua eneo la koo bila kumeza. Ukinywa maji ya chumvi utakuwa dehydrated na unaweza raise pressure yako kama unashida ya pressure kupanda.
 
Haishauriwi kutoa hizo kitu sababu zinafanya kazi yake. Kutoa tonsils ni sawa na kutoa thermostat kwenye gari ili isikupe taarifa juu ya jotoridi la gari eneo la engine.
Mkuu embu nipe ushauri wanangu wawili wanasumbuliwa na hichi kitu, walikuwa wanaishi eneo ambalo walikuwa wanatumia maji ya kisima, nikahisi huenda ikawa hiyo ndo sababu maana watoto wengi pia walikuwa wamevimba.

Najifikiria kuwafanyia operation ila moyo unasita, nahisi kwamba ni ugonjwa unaweza kupona wenyewe bila operation.

Ila ningeomba ushauri zaidi, ikiwa itabidi operation ihusike sitakuwa na namna
 
Back
Top Bottom