Tafadhali kwa anayejua mahali ninakoweza kupata Mbegu nzuri ya Mbwa anifahamishe.
Namuhitaji sana hata kama nikipata wawili maana vibaka wananikera sana nyumbani kwangu, ila asiwe Mbwa koko.
Mkuu kama upo Dar ukitembelea barabara ya Ali Hassan Mwinyi maeneo ya kuanzia Victoria kuelekea Morroco, nawaonaga vijana wanasimama pembezoni mwa barabara kuuza vi-jibwa na ma-mbwa, unaweza kuchungulia ukipata muda ukaona variety na bei zao.
Thanx, nitajaribu kupitapita, ila nadhani zoezi lenyewe ni la kubahatisha bahatisha, wangekuwa na specific day au kama wangekuwa na contacts ingekuwa bora zaidi.
In the meantime fortunately I am in Tanzania and I will be selling my German shepherd puppies for US$ 500.00 each. Send me an email and we can start from here!
Thanx, nitajaribu kupitapita, ila nadhani zoezi lenyewe ni la kubahatisha bahatisha, wangekuwa na specific day au kama wangekuwa na contacts ingekuwa bora zaidi.
Mshiiri,
Are you really serious? US$ 500.00 per each? what is so special with German shephead puppies/dog?
Nenda Iringa mazee unaweza pata hata Fuso lililojaa Mbwa! I am not joking.....Iringa kuna mbwa wengi kuliko idadi ya wakazi wa huko!
Tafadhali kwa anayejua mahali ninakoweza kupata Mbegu nzuri ya Mbwa anifahamishe.
Namuhitaji sana hata kama nikipata wawili maana vibaka wananikera sana nyumbani kwangu, ila asiwe Mbwa koko.