Ngai Moko
JF-Expert Member
- Mar 21, 2016
- 1,301
- 1,738
Nimeamua kuushtua UMASIKINI,
Naomba kujuzwa ni wapi nitapata Mercedes-Benz G63 ya mwaka 2020 iwe used kidogo, sina hela ila naulizia bei tu ili kuushtua UMASIKINI nilionao na pia naomba kujua;
> Sifa za hiyo chuma
> Bei yake
> Kwa nini bei ni kubwa
Naomba kujuzwa ni wapi nitapata Mercedes-Benz G63 ya mwaka 2020 iwe used kidogo, sina hela ila naulizia bei tu ili kuushtua UMASIKINI nilionao na pia naomba kujua;
> Sifa za hiyo chuma
> Bei yake
> Kwa nini bei ni kubwa