Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Kuna hili jabali la ulozi hapa JF linaitwa Mshana Jr . Hili litakusaidia kuwanyoosha wezi wako.

Tahadhari: usilioneshe mke/demu wako... jamaa lina pepo la ngono.
 
Wasaalam wanabodi.

Bila kupoteza muda, niombe niende kwenye mada husika. Kuna eneo flan nilinunua sehemu ila baadae baadhi ya wakazi wakaanza kuhujumu badhi ya shughuli zangu katika hilo eneo hilo, hasa mifugo iliyopo.

Kila mara ni wizi wa kuku au mbuzi na naona hili wamelizoea. Ili kukomesha kabisa tabia hizi za wizi, niombe mtu anayejua mganga nguli hasa kati ya mikoa ya Dodoma au Moro tuchekiane inbox.

Hili ni serious na ninalileta nikijua kuna vituo vya polisi. Nitashukuru kwa kupewa link ya huyo mtaalamu.
 
Mungu azidi kukutumia. Maana hii siri wengi hawaijui.
Nna rafiki angu shost sana....ana taasisi fulani hivi...sasa mara nyingi tunaonana sana kujengana..ana madhaifu yake...makubwa tu...ila kila saa10 lazima aende kanisan kusali had saa1...sasa siku 1 akaniambia huwa nasalije?..nikamwambia nasali kawaida...bas akaniintroduce kwa maombi makali yale strict...akaniambia wangari Mungu anakubariki zaidi ya hapa kama ukisali kwa kutia nia..its true...very true ..sema ndo hivyo kila mtu na imani yake..yaani yule dada ana hela....na zinamtembelea haswa...power of praying
 
Safi sana. Ushuhuda mzuri sana unaojenga.

Ndiyo maana hata mimi nimeipenda comment ya kwanza kabisa.
Kwasababu najua siri iliyo ndani ya Maombi ya nguvu na kujitoa.

Yawezekana mtoa mada hana matatizo kama niliyopitia kabla ya wokovu.
Au yawezekana hajawahi pitia waganga kama nilivyopitia karibia kila mkoa bila mafanikio.

Ila siku napata wokovu, ndipo shida zangu zilipokwisha kabisa.
Hadi sasa ni amani ndani ya wokovu wa Kristo Yesu, Bwana na mwokozi wa maisha yangu.
 
Chief pole kwa kupelekwa kwa mtaalam feki,,tatizo ni kwamba matapeli wamegundua huo ni fursa basi wanatembea na matatizo yetu . Next time ukiihitaji connection ya ukweli njoo inbox [emoji23]
Nipe connection mkuu mm nasumbuliwa na wanga kisa nimejenga kakibanda ka kujihifadhi.
 
Hahahaha! huo myororo wa dhambi utakufuata
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…