Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Kuna mwingine yeye ni kiboko yupo Kigoma anaweza akakufanyia kazi yako kwenye simu ili mradi umpe jina lako ama la adui yako inategemea na shida uliyo nayo
kuhusu malipo ni baada ya kazi
Samahani naomba mawasiliano yake please
 
Kuna mwingine yeye ni kiboko yupo Kigoma anaweza akakufanyia kazi yako kwenye simu ili mradi umpe jina lako ama la adui yako inategemea na shida uliyo nayo
kuhusu malipo ni baada ya kazi
Naomba msaada tafadhalii kwenye hii Naomba number zake ninashida sana..🙏🏽
 
Tulia tulia hujaeleza vizur shida yako na wanamna gani haswa
 
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
SEMA upo wapi kama ni dar Kuna mpemba anaua haraka sana Kwa bei poa
 
Nendeni kanisani au msikitini katoeni fungu lakumi hata kama ni dogo omba omba kwa Mungu atakupa mali uzitakazo utakuwa kama dangote na zaidi sasa hutoi unategemea upate nini??
Kwa Mungu kama humtolei dhabihu
 
Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tu.
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
Mkuu PM yako mbona inakataa kupokea ujumbe
 
Nakuomba tafadhali fafanua aina ya tatizo uweze kusaidika kwa wepesi.. Waganga wana fani tofauti
Kuna ambao fani yao ni mahusiano tu
Kuna ambao fani yao ni madeni tu.
Kuna ambao fani yao ni kuua na kuharibu tuu nknk
Naomba namba zako pls
 
Naomba uni pm
 
Nahitaji mganga wa kuua,kuna mtu ananisumbua toka 2019
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…