Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Siku ya hukumu ni face to face na Yesu, mganga wako naye atakuwa akitetemeka mbele za huyu Mhukumu wa ulimwengu. Okoka leo uokoe maisha yako ya sasa na baadaye
Hapo tuu ushakufuru, Mungu ndiye hakimu walla sio yesu so rudi darasani kwanza
 
Nipo hapa kwa Mwamposya. Watu wametoka Mikoani. Wengine wametoka nje ya nchi.
Mwamposya anawatibu sasa. Anawagusa mmoja mmoja. Mstari mrefu wa watu. Wamesimama shoulder to shoulder mstari wa 100 metres.
Hiyo ni awamu ya kwanza. Sasa awamu ya pili inaambiwa ijitayarishe.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣😃 hana tofauti na huyu mganga anaye tafutwa huku
 
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
1. Tanga
2. Zanzibar
3. Mtwara
4. Lindi
5. Tabora
6. Rukwa
 
Karibu bila shaka
Mkuu kwemaa? Naomba KUJUA MATUMIZI YA CHUMVI YA MAWE KIIMANI,

Niliwahi kusomaa hapa jamii forums, kuhusu Matumizi ya Hiyoo chumvi, na wengi Huwasaidia kwenye Kuondoa mabalaa yaliyonuiwa dhidi yaoo kwa kujua au Kutojuaa. Naomba shule kidogo Mkuu.

Ahsante sana
 
Back
Top Bottom