Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Mtafute shafii ze don atakupa mbinu ufanye mwenyewe bila mganga
 
Name: MwanaGuma
Mobile 0746 057 440 mwamba yupo mwanza garama zake ni kuanzia buku 5 na mizimu yake ikikuelewa anakufanyia kazu na dawa malipo utamtumia ukipenda baadae ukifanikiwa. Huwezi kutoa 0% unatakiwa kulipia ata buku tu.
 
Kama umeanza kutafuta Mganga kwenye Biashara, ni dalili ya ku fail
Kusimamisha biashara ikasimama ikaleta matunda tarajiwa katikati ya wapinzani sio jambo la katoto endapo kama umewahi kuwa na taasisi yoyote, Usione watu wanaendesha maprado kuna kazi kubwa kwelikweli.
OVA!
Let's her go the way she/he trust
 
Name: MwanaGuma
Mobile 0746 057 440 mwamba yupo mwanza garama zake ni kuanzia buku 5 na mizimu yake ikikuelewa anakufanyia kazu na dawa malipo utamtumia ukipenda baadae ukifanikiwa. Huwezi kutoa 0% unatakiwa kulipia ata buku tu.
Mwanza sehemu gani
 
Kusimamisha biashara ikasimama ikaleta matunda tarajiwa katikati ya wapinzani sio jambo la katoto endapo kama umewahi kuwa na taasisi yoyote, Usione watu wanaendesha maprado kuna kazi kubwa kwelikweli.
OVA!
Let's her go the way she/he trust
Ni ngumu mtu kuelewa hadi aipate hiyo shida mkuu! Asante umenielewa!
 
Name: MwanaGuma
Mobile 0746 057 440 mwamba yupo mwanza garama zake ni kuanzia buku 5 na mizimu yake ikikuelewa anakufanyia kazu na dawa malipo utamtumia ukipenda baadae ukifanikiwa. Huwezi kutoa 0% unatakiwa kulipia ata buku tu.
Mungu akubariki mnoo!!
 
Ndugu yangu naona unataka kufeli zaidi,utafirisika hata hicho kidogo kilichobaki,unamwamini binadamu na siyo aliyekupa pumzi hiyo unayoivuta.Mwamini Mungu ili abadilishe maisha yako yeye ndiye suruhisho wa changamoto zako.
 
Kuna watu watakuja hapa na kukusema vibaya huku wengine wakijaribu kukushauri kutokana na ujuzi wao wa makaratasi (hawamiliki hata genge la nyanya au walijaribu ao zikawashinda ), ila asilimia kubwa ya tulio kwenye uwanja wa mapambano tunaelewa kinakusumbua.

Ni ngumu kupata unachokitafuta maana matapeli ni wengi na hata wale wa ukweli ni ngumu kuwapata kutokana na usiri wa wanaowafahamu, ila amini siku ukifaniisha basi ujue you were meant to be a bussiness man.
 
Ndugu yangu naona unataka kufeli zaidi,utafirisika hata hicho kidogo kilichobaki,unamwamini binadamu na siyo aliyekupa pumzi hiyo unayoivuta.Mwamini Mungu ili abadilishe maisha yako yeye ndiye suruhisho wa changamoto zako.
Maisha hayaendi hivyo mkuu, ni vile tu watz wengi tumejawa na unafiki lakini biashara sio masihara.
 
Back
Top Bottom