Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba nitag mkuuMtafute shafii ze don atakupa mbinu ufanye mwenyewe bila mganga
Naelewa lakini kuna wakat pengine iman inakua ndogo unasugua got bado unaona mambo magumu yanazidi ndipo inabid kujiongezaYesu ni mambo yote ndani ya yote, ukimpata Yeye umepata vyote[emoji444]
Nimeona naenda kufel matarajio hayafikii kila napopambanaKama umeanza kutafuta Mganga kwenye Biashara, ni dalili ya ku fail
Hilo unalolitafuta sio kujiongeza bali ni kujipoteza!Naelewa lakini kuna wakat pengine iman inakua ndogo unasugua got bado unaona mambo magumu yanazidi ndipo inabid kujiongeza
Nifanyaje?Hilo unalolitafuta sio kujiongeza bali ni kujipoteza!
Nauza huduma ndiyo haohao washindaniUnauza bidhaa ama kutoa huduma gani maana kuna baadhi ya biashara unaweza pigwa misumali hata na washindani wako.
Kusimamisha biashara ikasimama ikaleta matunda tarajiwa katikati ya wapinzani sio jambo la katoto endapo kama umewahi kuwa na taasisi yoyote, Usione watu wanaendesha maprado kuna kazi kubwa kwelikweli.Kama umeanza kutafuta Mganga kwenye Biashara, ni dalili ya ku fail
Mwanza sehemu ganiName: MwanaGuma
Mobile 0746 057 440 mwamba yupo mwanza garama zake ni kuanzia buku 5 na mizimu yake ikikuelewa anakufanyia kazu na dawa malipo utamtumia ukipenda baadae ukifanikiwa. Huwezi kutoa 0% unatakiwa kulipia ata buku tu.
Ni ngumu mtu kuelewa hadi aipate hiyo shida mkuu! Asante umenielewa!Kusimamisha biashara ikasimama ikaleta matunda tarajiwa katikati ya wapinzani sio jambo la katoto endapo kama umewahi kuwa na taasisi yoyote, Usione watu wanaendesha maprado kuna kazi kubwa kwelikweli.
OVA!
Let's her go the way she/he trust
Mungu akubariki mnoo!!Name: MwanaGuma
Mobile 0746 057 440 mwamba yupo mwanza garama zake ni kuanzia buku 5 na mizimu yake ikikuelewa anakufanyia kazu na dawa malipo utamtumia ukipenda baadae ukifanikiwa. Huwezi kutoa 0% unatakiwa kulipia ata buku tu.
Hayo mawazo yako kaa nayo tuNdugu yangu naona unataka kufeli zaidi,utafirisika hata hicho kidogo kilichobaki,unamwamini binadamu na siyo aliyekupa pumzi hiyo unayoivuta.Mwamini Mungu ili abadilishe maisha yako yeye ndiye suruhisho wa changamoto zako.
😂😂🤣alooHayo mawazo yako kaa nayo tu
Maisha hayaendi hivyo mkuu, ni vile tu watz wengi tumejawa na unafiki lakini biashara sio masihara.Ndugu yangu naona unataka kufeli zaidi,utafirisika hata hicho kidogo kilichobaki,unamwamini binadamu na siyo aliyekupa pumzi hiyo unayoivuta.Mwamini Mungu ili abadilishe maisha yako yeye ndiye suruhisho wa changamoto zako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo mawazo yako kaa nayo tu