Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Wapi nitapata mganga wa Kienyeji mzuri?

Connection za witch doctor zipo sana tu

Asilimia kubwa ya walio fanikiwa hasa kwenye biashara wamezindika sana hasa watz sio wahindi,

Mganga mwenyewe anaomba mizimu mwisho anasema Mungu msaidie, hii inaitwa jisaidie na Mungu akusaidie.
 
Ulimwengu umejaa Siri nyingi sana, wanasema "Usipowahi utawahiwa wewe " Dunia uwanja wa Vita..Mambo yatakuwa sawa tu....
 
Kusema ukweli nimechoka hadi mwisho! Napata wakat mgumu mnoo kwenye biashara yangu ambayo nimeisajili kama kampuni, nakutana na vitendo vya kishirikina sana na changamoto nyingi ambapo nachoamini ni kupata tu mganga konk! Naomba mwenye conection walah ninusuru mie mungu atakulipa
Yaani uunganishwe na mganga alafu Mungu ndo alipe ?? Au unasema haka ka mungu kadogo ndo katalipa ?
 
Nenda youtube walimu, waganga kibao wanafundisha mbinu za kufanya Ili kujifungia na kujikinga dhidi ya nguvu za giza na wapumbavu wasikuchezee.
Ukijua sayansi ya miti,mimea na madini hao wapumbavu hawawezi kukusumbua.
Shukran mkuu
 
Nina shida binafsi nahitaji mtu mwenye kujua mganga mzuri ambaye anasaidia watu au ata yeye amemsaidia please siihitaji ushauri wala matusi kama uzi haukuusu kaa kimya hapa nahitaji mwenye kujua hili jambo tu narudia usije hapa kama hauna huyo mtu
Chaka
 
Siku ya hukumu ni face to face na Yesu, mganga wako naye atakuwa akitetemeka mbele za huyu Mhukumu wa ulimwengu. Okoka leo uokoe maisha yako ya sasa na baadaye
 
Siku ya hukumu ni face to face na Yesu, mganga wako naye atakuwa akitetemeka mbele za huyu Mhukumu wa ulimwengu. Okoka leo uokoe maisha yako ya sasa na baadaye
Illusion gov'ned, kuna kitu kinaitwa incarnation tu, and no hell at all, and know that once you die mean you lost! Completely!
 
Nenda youtube walimu, waganga kibao wanafundisha mbinu za kufanya Ili kujifungia na kujikinga dhidi ya nguvu za giza na wapumbavu wasikuchezee.
Ukijua sayansi ya miti,mimea na madini hao wapumbavu hawawezi kukusumbua.
Nimeenda nimekutana na dawa ya mgomba hiyo ni nouma
 
Back
Top Bottom