MWANDENDEULE
JF-Expert Member
- May 24, 2015
- 4,099
- 7,466
Kunyongwa hadi kufa hadharani kufanyike haraka sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sisi tumejikita kwenye USINGA ili kulinda mbususu ya mke isichakachuliwe na VISIMO ili jirani na ndugu wasikuzidi kiuchumi.lWatu wa Geita, Shinyanga na Tabora wanaamini katika ushirikina mpaka wamepitiliza.
Hata sisi watu wa Tanga tuna imani za kishirikina kwa sehemu fulani, ila hawa wenzetu wamezidi kwa kweli. Sijui ujinga uliopotiliza!
Sio wote ila baadhi au ndio maana yule ' jamaa' alitulimisha na meno ?...🙄🙄Kanda ya Ziwa wana roho za nchi za maziwa makuu
Vipo vingi sana! Hata wafanyakazi tu nikipata mfanyakazi mzuri ndan ya miez miwil mitatu anaondoka bila sababu hanidai mshahara wala hakuna kosa alilofanya, kiufup vita ya kiroho ni kubwa hadi mi mwenyewe nikifik ofisini nasinzia tu na kujikuta nimechoka mnoooVitendo gani vya kishirikina? maana hata awa wa MD wa kienyeji nao wame-specialize pia
Asante mkuuNgoja nimuite huyu mtaalam Proved atakusaifia tatizo hilo.
usichukulie vitu personal, mfanyakazi kuondoka inaweza kuwa inasababishwa na wewe kutokuwapa hata mikataba ivyo anakua haioni future yake katika biashara yako.Vipo vingi sana! Hata wafanyakazi tu nikipata mfanyakazi mzuri ndan ya miez miwil mitatu anaondoka bila sababu hanidai mshahara wala hakuna kosa alilofanya, kiufup vita ya kiroho ni kubwa hadi mi mwenyewe nikifik ofisini nasinzia tu na kujikuta nimechoka mnooo
Kitu cha kwanza unapokuja kwangu ni mkataba mkuuusichukulia vitu personal, mfanyakazi kuondoka inaweza kuwa inasababishwa na wewe kutokuwapa hata mikataba ivyo anakua haioni future yake katika biashara yako.